Kwisha...Kamelia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwisha...Kamelia
Siezi kulia ni kapovu kamefanikiwa kutoka ....Kwisha...Kamelia
Stupid for the while sawa Ila wewe ni ******** .. .kasome tofauti ya mjinga na ******** ndio utaona wewe unahali gani
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji114]hehehehe sorry i don't read stupid. it's a language i have never been proficient in. But thanks for the attempt at communicating with me.
Sammuel999 tumpe makofi tafadhali
Britam hakuna kitu,aheri wakenya mngesema Uap tower lakini ule mlingoti wa britam ni aibu jengo fupi mnara mrefu,hebu kaeni kando ligi hii sio yenu.mtz daimaHapo ni kabla halijaisha
Nathan unajua waga wanaconsider minaraKweli umenena
Britam hapo juu ya TPA NA PSFP sasa nyamaza
Cjui umeenda 2017 ukajua itakavyo kaa ikiisha ndio ukarudi 2016 kutuambiaBritam hakuna kitu,aheri wakenya mngesema Uap tower lakini ule mlingoti wa britam ni aibu jengo fupi mnara mrefu,hebu kaeni kando ligi hii sio yenu.mtz daima
watabomoa ule mlingoti au wataongeza mlingoti mwingineCjui umeenda 2017 ukajua itakavyo kaa ikiisha ndio ukarudi 2016 kutuambia
Juu mimi najua britam Badi haija malizwa kujengwa itamalizwa march 2017
Sijui ngoja 2017 tuone mlingot naniwatabomoa ule mlingoti au wataongeza mlingoti mwingine
waabie waiweke Britam uone,mbona wanaficha picha zake halisi.Nathan unajua wanga wanaconsider minara
waabie waiweke Britam uone,mbona wanaficha picha zake halisi.
Rafiki weka ya wazi mbona unaficha,huo mlingoti?Sijui ngoja 2017 tuone mlingot naniView attachment 419579View attachment 419581
TPA ni 157mRafiki weka ya wazi mbona unaficha,huo mlingoti?
Du,kwa minara ya kuforge ni sheeeeeeeeeeeeeeeedaTPA ni 157m
Britam ni 200 hata hyo mast ikiwa 42m bado hamfikii britam ndio refu kwa zote AFRICA MASHARIKI ....na must haiwezi kuwa na urefu zaidi ya 12m so 200-12 = 188m
Bado hamfikii so sina haja ya kupa proof!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo ya kawaida [emoji23] [emoji23]Siezi kulia ni kapovu kamefanikiwa kutoka ....
[emoji28][emoji28][emoji28]noma Hawa wahuni wanamaneno makali sana *****[emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo ya kawaida [emoji23] [emoji23]
wajua avic wanajenga majengo mangapi kwenye iyo land yao?nakwambia sita we unamaka.hata husaidiki.alafu mmeongea sana kuhusu hii dar ni nai times 3..mnaangalia nni haswa?the city itself ama the boundary yenye inamark dar cz am sure those are two different things.tukiangalia city huu ujinga nadhani hamtausema cz dar is be bigger but ukisema times three umepotoshaHehehe eti ghorofa sita,
Kweli now Mnatia huruma,
BTW, in dar that cbd yu've been seeing inaanza kukosa umaarufu..
Now there is a massive construction of two new BD's in dar,
Victoria and Kawe city,
Achana na Kariakoo..
(As u r aware that Dar = nairobi*3)
Here is Victoria dsm
View attachment 419253
And here is Kawe city u/c
View attachment 419254View attachment 419255View attachment 419256
Hapo bado hatujazungumzia kigamboni..