Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
Thubutuuuu.mightiest in east africa..kudos
Labda ungeuliza kama limewahi kupigana na ashshabaab?TRUTHS 1)kati ya kdf na jwtz na wanakaa wanamgambo.2)jeshi lenu limewai kupigana vita na terrorists na usiniambie wale wanamgambo wa congo
So mko juu than wamarekani juu hao pia walishindwa somaliaLabda ungeuliza kama limewahi kupigana na ashshabaab?
Manake hao ndio excuse yenu.
Whay Kenyans have done so far apart from alshabaab?
Lakini JWTZ lina rekodi ya kutoa kichapo cha mbwa mwizi afrika nzima.
We are so organized.
Hao roaches tuna wachapa in a matter of seconds.
Ndio maana hawajamudu kuchomeka pua hapa tized.
Tena kwa utawala huu wenye discipline jeshini kama ule wa nyerere ndio balaa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waamerika hawakushindwa nchini Somalia.So mko juu than wamarekani juu hao pia walishindwa somalia
Ni kweli wakenya kuna vitu mmetuzidi, kama demokrasia, ukabila.Ati the best in what...hahah domodomo kama kawaida
TRUTHS..wewe una kichaa.kama huo mgambo wenu ni best in e.africa mbona basi hamujaupeleka kule somalia BTW tz muna navy??..pwahahaha..nikuuliza tu