Al-shabab wamewashinda je tukiwaletea WATU WASIOJULIKANA kutoka Tz si watapindua nchi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app[/URLS]
Wewe acha ushabiki Kuna Algeria morroco nigeria na ethiopia achana na hizo nchi kwa maswala ya kijeshiThubutuuuu.
Hao mgambo wa alshabaabu tu wanawatoa Kamasi kule somali land
Tanzania ndio the Most powerful afrika mashariki na Kati yote
Na kwa bara la afrika nzima.
JWTZ Hatutoki nje ya 3 bora,
kama sio Namba Moja kabisa.
Labda Egypt na South Afrika.
Manake bajeti ya jeshi la Egypt linafadhiliwa na USA. Hawa watakua powerful kwasababu ya mgongo wa mwamerika.
South Afrika hawa wako vizuri kiuchumi tangu siku nyingi.
Namibia wanatengeneza ndege zao wenyewe, lakini bado hawazidi mziki wetu.
Nigeria wale washakua vimeo toka long time. Jeshi lao halina nidhamu. Lina mapungufu mengi.
Afrika imeisha yote. Kwishney..!!
Tumebaki sisi ambao ni strong and solid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe acha ushabiki Kuna Algeria morroco nigeria na ethiopia achana na hizo nchi kwa maswala ya kijeshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unawasifia police kule kibitiLabda ungeuliza kama limewahi kupigana na ashshabaab?
Manake hao ndio excuse yenu.
Whay Kenyans have done so far apart from alshabaab?
Lakini JWTZ lina rekodi ya kutoa kichapo cha mbwa mwizi afrika nzima.
We are so organized.
Hao roaches tuna wachapa in a matter of seconds.
Ndio maana hawajamudu kuchomeka pua hapa tized.
Tena kwa utawala huu wenye discipline jeshini kama ule wa nyerere ndio balaa kabisa.
.
Hapa tized kama ni makundi ya kigaidi ni mengi kuliko Huko kenya. Kwasababu tofauti ndogo ya kiimani.
But jeshi letu liko vizuri.
Walishaleta fyoko kule kibiti, kisarawe.. Sasa hivi wamekula mute.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wakisikia kishindo cha RPG tu wanapoteza fahamu wasijue ni nini. Vita ni jeshi kwa jeshi tu.tunapeleka hawa jamaa
tunapeleka hawa jamaa
Ngw'ana Kabula
Hao ni wa kulinganishwa na polisi wenzao wa Kenya. Thread inahusu Military might yaani uwezo wa kijeshi, au hamjui Military ni nini?Wanaitwa Black Mamba hao shughuli yao sio mchezo
Nani kakuambia USA kaishndwa somalia kwanz hawajawahi pgana lkn ultk kumaansha al shaabab.So mko juu than wamarekani juu hao pia walishindwa somalia
Thubutuuuu.
Hao mgambo wa alshabaabu tu wanawatoa Kamasi kule somali land
Tanzania ndio the Most powerful afrika mashariki na Kati yote
Na kwa bara la afrika nzima.
JWTZ Hatutoki nje ya 3 bora,
kama sio Namba Moja kabisa.
Labda Egypt na South Afrika.
Manake bajeti ya jeshi la Egypt linafadhiliwa na USA. Hawa watakua powerful kwasababu ya mgongo wa mwamerika.
South Afrika hawa wako vizuri kiuchumi tangu siku nyingi.
Namibia wanatengeneza ndege zao wenyewe, lakini bado hawazidi mziki wetu.
Nigeria wale washakua vimeo toka long time. Jeshi lao halina nidhamu. Lina mapungufu mengi.
Afrika imeisha yote. Kwishney..!!
Tumebaki sisi ambao ni strong and solid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta ushahidi ndugu. Kwanza ujue tanzania(JWTZ) ni 27 dunianiAcha uongo wa wazi wazi Mkuu.
Mjadala unahusu nini?Tuache utani. Nataka wakenya mlete askari akiwa na bunduki kama hizi:-
Wewe ndiye unayetupangia cha kuongea?Mjadala unahusu nini?
Wewe ndiye unayetupangia cha kuongea?
Mimi naweka vitu ambavyo tayari viko kwenye public tayari. Na hiyo nayo ni siraha kama jirani anamilk gobore, mwoneshe AK47 yako. Atatulia kupiga kelele.we annel na hao wakenya hamuivi aseee... angalia usije waonyesha siri za taifa..hahaha