Kenya's military might

Kenya's military might

Thubutuuuu.

Hao mgambo wa alshabaabu tu wanawatoa Kamasi kule somali land

Tanzania ndio the Most powerful afrika mashariki na Kati yote

Na kwa bara la afrika nzima.

JWTZ Hatutoki nje ya 3 bora,
kama sio Namba Moja kabisa.

Labda Egypt na South Afrika.
Manake bajeti ya jeshi la Egypt linafadhiliwa na USA. Hawa watakua powerful kwasababu ya mgongo wa mwamerika.

South Afrika hawa wako vizuri kiuchumi tangu siku nyingi.
Namibia wanatengeneza ndege zao wenyewe, lakini bado hawazidi mziki wetu.

Nigeria wale washakua vimeo toka long time. Jeshi lao halina nidhamu. Lina mapungufu mengi.

Afrika imeisha yote. Kwishney..!!

Tumebaki sisi ambao ni strong and solid.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe acha ushabiki Kuna Algeria morroco nigeria na ethiopia achana na hizo nchi kwa maswala ya kijeshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe acha ushabiki Kuna Algeria morroco nigeria na ethiopia achana na hizo nchi kwa maswala ya kijeshi

Sent using Jamii Forums mobile app

Eti Nigeria, Poor you.!!

Kwa taarifa yako, jeshi la Nigeria limekua bovu kuliko maelezo. Lina rushwa, mamluki, udini, ukabila. Kiufupi wamekua dhaifu sana. Hata mbele ya al- Wilāya al-Islāmiyya Gharb Afrīqiyyah.

Hawa hawawezi mziki wetu. Itabakia dhana tu kua wananguvu za kufikirika lakini hawawezi pambana na JWTZ.

Kule Afrika Magharibi, Libya ya Ghadafi ndio ilikua na nguvu.
Lakini walishaleta kikosi chao hapa bongo kumsaidi Nduli, wakachezea kichapo cha mbwa mwizi. Manake na wao walikua wana tu undermine uwezo wetu. Tuliwa-suprize sana tu.!!

Morocco na Algeria. I can assure you, hapa hakuna Jeshi..hawa waarabu hawana jipya. Mtu mweusi ni Balaa.

Jeshi la Tizedi lina mafunzo makali sana. Hawa waarabu hawawezi mziki wetu. Wako nyoronyoro sana kama wanawake.

Sisi Tanzania hatuko nje ya na 5 lakini kuna kila possibility sisi ndio namba moja Afrika.

Tuna jeshi lenye umoja, halijawahi kuingiliwa na siasa ndani wala blah blah zingine!!

Lenye nidhamu ya hali ya juu,ambayo hakuna jeshi AFRIKA wanayo
Mazoezi magumu utadhani ni SEAL wa USA.

Jeshi letu lina SIRI SANA katika uwezo wake WA juu. Hua hazivuji kama hayo mataifa mengine.

Nenda huko Morroco na Algeria utakuta mafunzo ni ya kuendesha kifaru na ndege. Lakini physicality wako kama wanawake.

Jeshi letu halijawahi kupoteza integrity yake kwa kila mkuu wa majeshi anayeingia nchini hadi huyu wa sasa Generally Mabeyo.

Hao wakenya, wanaukabila hadi ndani ya jeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda ungeuliza kama limewahi kupigana na ashshabaab?
Manake hao ndio excuse yenu.

Whay Kenyans have done so far apart from alshabaab?

Lakini JWTZ lina rekodi ya kutoa kichapo cha mbwa mwizi afrika nzima.
We are so organized.

Hao roaches tuna wachapa in a matter of seconds.
Ndio maana hawajamudu kuchomeka pua hapa tized.
Tena kwa utawala huu wenye discipline jeshini kama ule wa nyerere ndio balaa kabisa.
.
Hapa tized kama ni makundi ya kigaidi ni mengi kuliko Huko kenya. Kwasababu tofauti ndogo ya kiimani.

But jeshi letu liko vizuri.
Walishaleta fyoko kule kibiti, kisarawe.. Sasa hivi wamekula mute.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unawasifia police kule kibiti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tunapeleka hawa jamaa
208e205507702cdc50cc8b835e44d6de.jpg

4048a62fd94700c0cbbaca5c61963430.jpg



tunapeleka hawa jamaa


Ngw'ana Kabula
Hao wakisikia kishindo cha RPG tu wanapoteza fahamu wasijue ni nini. Vita ni jeshi kwa jeshi tu.
 
Tukate mzizi wa fitina. Nyie kenya leteni vifaa vyenu tuvione. Na sisi tutawaletea vy kwetu.
Naanza kuwaletea kwa picha.
Jeshi la kenya ni cha mtoto hawana lolote.
Kwanza Kenya hawana pesa, ni makelele tu ya kwenye karatasi.
 
Tuache utani. Nataka wakenya mlete askari akiwa na bunduki kama hizi:-

ot%2Bpic-8269-2.jpg



ot%2Bpic-8283.jpg


ot%2Bpic-8323.jpg
 
Thubutuuuu.

Hao mgambo wa alshabaabu tu wanawatoa Kamasi kule somali land

Tanzania ndio the Most powerful afrika mashariki na Kati yote

Na kwa bara la afrika nzima.

JWTZ Hatutoki nje ya 3 bora,
kama sio Namba Moja kabisa.

Labda Egypt na South Afrika.
Manake bajeti ya jeshi la Egypt linafadhiliwa na USA. Hawa watakua powerful kwasababu ya mgongo wa mwamerika.

South Afrika hawa wako vizuri kiuchumi tangu siku nyingi.
Namibia wanatengeneza ndege zao wenyewe, lakini bado hawazidi mziki wetu.

Nigeria wale washakua vimeo toka long time. Jeshi lao halina nidhamu. Lina mapungufu mengi.

Afrika imeisha yote. Kwishney..!!

Tumebaki sisi ambao ni strong and solid.


Sent using Jamii Forums mobile app

Acha uongo wa wazi wazi Mkuu.
 
we annel na hao wakenya hamuivi aseee... angalia usije waonyesha siri za taifa..hahaha
Mimi naweka vitu ambavyo tayari viko kwenye public tayari. Na hiyo nayo ni siraha kama jirani anamilk gobore, mwoneshe AK47 yako. Atatulia kupiga kelele.
 
Back
Top Bottom