Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
- Thread starter
- #101
KDF ina uzoefu na vita gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KDF ina uzoefu na vita gani?
Alshaabab haipagani na KDF, wao wanapigana na jeshi la Somalia.kwani ww kipofu?? pale somalia na sudan kusini wanalisha ng'ombe au? nyi mna uzoefu upi?? nchi imetulia sana...hakuna threat from within or without...tanzania has never gone to war...my friends, huwa mnapenda majivuno ila hamna chochote...nenda Google just search most powerful african militaries...kisha uje uniambie...hata nashuku hizo missile launchers hamjui kutumia...
movie sio?? ww unafikiri alshabaab wako kule wanacheza kati...hawa jamaa wanachinja watu vichwa kila siku....lakini wakisikia KDF imetua Kismayo wanatorokea Northern Somalia rural areas...hehe!! yaani wanajshi wale wanatisha mpaka hawa wanyama...Vita ya kupiganwa huku mnachukuana movie kama za Anord na Rambo. Hahahahaha!!!
bla bla bla nyingi tu....unajua kuongea ni rahisi sana...kisha wacha ushamba tumia Google...fanya research...top militaries in africa kisha uje uniambie ulichopata...yaani hamna cha tanzania popote....domo domo tu...duh! waswahili mnachekesha nyieKulinganisha TPDF na KDF ni sawa na kulinganisha TPDF na mgambo Wa Tz, haviez lingana hivi vitu..
tena nafikir tukipeleka mgambo wetu Somalia hiyo vita itaisha ndani ya siku 2/3
Hivyo mgambo wetu ni bora Mara 10 kuliko KDF
Kwikwikwikwikwimovie sio?? ww unafikiri alshabaab wako kule wanacheza kati...hawa jamaa wanachinja watu vichwa kila siku....lakini wakisikia KDF imetua Kismayo wanatorokea Northern Somalia rural areas...hehe!! yaani wanajshi wale wanatisha mpaka hawa wanyama...
kwa hiyo KDF kazi haswa kule somalia na sudan kusini ni gani?...naona ni kana kwamba unajua mengi sana...nielimishe basi mkuu...Alshaabab haipagani na KDF, wao wanapigana na jeshi la Somalia.
kwa hiyo KDF kazi haswa kule somalia na sudan kusini ni gani?...naona ni kana kwamba unajua mengi sana...nielimishe basi mkuu...
sasa hii pia ni vita? lol! Annael wacha masihara....ww itabidi tukupeleke kule Churchill uchekeshe wakenya...vita ni vile viliopo Somalia...si watu wawili waligombana kule ushelisheli kisha mnatuambia eti jeshi la tanzania lilitatua mgogoro...sijui mgogoro wa ardhi...tell me about terrorists or fighting rebels...wale jamaa shabaab ni wanyama na katili sana...i doubt huko Seychelles kulikua na jambo serious kama ile iliopo Somalia...Kwikwikwikwikwi
Soma hapa kidogo upate elimu:
VICTORIA, Seychelles -- Loyal Seychelles soldiers backed by Tanzanian troops quashed a two-day rebellion of army dissidents Wednesday, freeing hostages and recapturing vital installations without firing a shot.
Loyal Seychelles soldiers backed by Tanzanian troops quashed a...
Jay456watt, kama uzoefu ni kigezo cha uimara wa Jeshi, basi Tanzania inaongoza Afrika, hakuna nchi yoyote iliyopigana vita vingi kama Tanzania, tangu Tanzania imepata uhuru jeshi lake limekua likizunguka katika nchi nyingi kushiriki katika vita mbalimbali kuanzia sychells na karibu nchi zote za kusini mwa afrika, hivi karibu limekua Comoro, huko Congo, Lebanon na Darfur, na hivi bila kusahau vita vya Uganda, kumbuka vita hivi ni vita kati ya jeshi na jeshi, yaani professional war, tena huko kusini mwa afrika JW lilikua likipambana na majeshi yaliyokua na silaha bora zaidi kuliko JW, kwa mfano wareno kule msumbiji, uzoefu gani tena inaoulizia?kwani ww kipofu?? pale somalia na sudan kusini wanalisha ng'ombe au? nyi mna uzoefu upi?? nchi imetulia sana...hakuna threat from within or without...tanzania has never gone to war...my friends, huwa mnapenda majivuno ila hamna chochote...nenda Google just search most powerful african militaries...kisha uje uniambie...hata nashuku hizo missile launchers hamjui kutumia...
Kwikwikwikwi. Soma maelezo acha kujifanya kama huelewi.sasa hii pia ni vita? lol! Annael wacha masihara....ww itabidi tukupeleke kule Churchill uchekeshe wakenya...vita ni vile viliopo Somalia...si watu wawili waligombana kule ushelisheli kisha mnatuambia eti jeshi la tanzania lilitatua mgogoro...sijui mgogoro wa ardhi...tell me about terrorists or fighting rebels...wale jamaa shabaab ni wanyama na katili sana...i doubt huko Seychelles kulikua na jambo serious kama ile iliopo Somalia...
Kwani Kenya ina mgogoro gani na Somalia?kwa hiyo KDF kazi haswa kule somalia na sudan kusini ni gani?...naona ni kana kwamba unajua mengi sana...nielimishe basi mkuu...
nimesoma na ilkua misheni ya kutatua mgogor kule Comoros...sasa swali ni hili, unajua Comoros ina population gani? yaani hata ni watu wa kuhesabika,...hamna pale threat ya kupeleka jeshi hapo...hata sasa nimedharau TPDF zaidi...yaani mnaplekwa Comoros badala ya Nchi kama Somalia....by the way, somalia ni kama Afghanistan, Iraq, Libya or maybe even worse...kisha ww unaniambia eti TDPF walipelekwa Comoros, kanchi ka watu wa kuhesabika...lol!!! wanajeshi walienda kubangaiza tu kule...hamna vita iliopo kule...
Nchi za ki-Afirica nyingi kama ilivyo Tz hazi-expose mambo yao ya kijeshi, na hata budget yake haiwekwi wazi.. Waulize wazungu waliotupa kaz ya kumfurumisha M23 Siku ya kwanza/ya pili/ya tatu hatujasikiaga tena hiz Jamaa sumbufubla bla bla nyingi tu....unajua kuongea ni rahisi sana...kisha wacha ushamba tumia Google...fanya research...top militaries in africa kisha uje uniambie ulichopata...yaani hamna cha tanzania popote....domo domo tu...duh! waswahili mnachekesha nyie
Haikuwa mission my friend. Rais wa comoros alikuwa amepinduliwa.nimesoma na ilkua misheni ya kutatua mgogor kule Comoros...sasa swali ni hili, unajua Comoros ina population gani? yaani hata ni watu wa kuhesabika,...hamna pale threat ya kupeleka jeshi hapo...hata sasa nimedharau TPDF zaidi...yaani mnaplekwa Comoros badala ya Nchi kama Somalia....by the way, somalia ni kama Afghanistan, Iraq, Libya or maybe even worse...kisha ww unaniambia eti TDPF walipelekwa Comoros, kanchi ka watu wa kuhesabika...lol!!! wanajeshi walienda kubangaiza tu kule...hamna vita iliopo kule...
hahahaha....excuses...hamna nchi inayoweka nguvu zake za kijeshi kuwa siri...leta proof basi ndio nikuamini...yaani ulete proof kuwa serikali ya Tanzania inaficha nguvu zake za kivita toka kwa umma...nchi huwa zinajaribu kuonyesha kuwa ni kali kivita...sio kuficha....waone North Korea....kanchi kadogo tu ila inawakosesha Marekani, China na Russia usingizi...wanashinda wakitupa missiles kila uchao....jamaa nchi huwa hazifichi nguvu, instead huwa zina exaggerate nguvu zake za kijeshi ili kutisha magaidi na adui...Nchi za ki-Afirica nyingi kama ilivyo Tz hazi-expose mambo yao ya kijeshi, na hata budget yake haiwekwi wazi.. Waulize wazungu waliotupa kaz ya kumfurumisha M23 Siku ya kwanza/ya pili/ya tatu hatujasikiaga tena hiz Jamaa sumbufu
duh! makubwa haya...huyo ni rais ama?Haikuwa mission my friend. Rais wa comoros alikuwa amepinduliwa.
Huyu alisurubiwa kwa kufanya mapinduzi (comoros)
![]()
![]()
Leta proof mbona uko kimya leta information zenu tuone jeshi lenu liko juu.hahahaha....excuses...hamna nchi inayoweka nguvu zake za kijeshi kuwa siri...leta proof basi ndio nikuamini...yaani ulet proof kuwa serikali ya Tanzania inaficha nguvu zake za kivita toka kwa umma...nchi huwa zinajaribu kuonyesha kuwa ni kali kivita...sio kuficha....waone North Korea....kanchi kadogo tu ila inawakosesha Marekani, China na Russia usingizi...wanashinda wakitupa missiles kila uchao....jamaa nchi huwa hazifichi nguvu, instead huwa zina exaggerate nguvu zake za kijeshi ili kutisha magaidi na adui...