Kenya’s most expensive schools in 2018 and their fee structures

Kenya’s most expensive schools in 2018 and their fee structures

Nenda zako pumbavu na elimu ya Kibera! shenzy wewe! we started this game fool! If not Ujamaa we would be so so far! Now we r competing with fools that have been on a right path all along! Peleka upumbavu kwa mamako!
Ukishalemewa unaanza matusi. Kwani ujamaa ni sisi tuliwapa? No wonder akili zako ni za kiujamaajamaa😀😀😀😀
 
Ukishalemewa unaanza matusi. Kwani ujamaa ni sisi tuliwapa? No wonder akili zako ni za kiujamaajamaa😀😀😀😀
una utaahira aisee uliza ulitolewa wap! Pumbavu! Nimekupa mpaka definition ya International bado unabisha! sasa 1967 niambie any other Curriculum used at RVA aside American if that's the only used at the time, how can it be international?
 
Kuna Google. I don't need you to tell me shit. Wewe wa kuonewa huruma tu. Hujitambui jinsi IQ yako inavyosomeka katika forum.

Bora niishie hapa.
kubishana na huyovmtoto mdogo wakenya ni sawa nakuyaoga matope,,,bado chalii huyo achaneni naye hana uelewa wowote kuhusu hizo record story...
 
Mimi nakubaliana na wewe katika umuhimu wa ku deliver quality education tu.

Hii list ya top high schools nimeshaiona sana katika mtandao. Kila mtu/organization anataka rank yake iwe ndio barometer ya quality education.

Ditto with top universities in the world. Kuna QS ranking na Shanghai world ranking. Yupi ni mkweli? QS anasema MIT, Shanghai anasema Harvard, ndio Number 1 duniani.

Sawa na hiyo ranking ya Afrika Kusini. Wanatumia methodology gani kupima? Kuna wengi tu nao wana rank shule, wanatafuta biashara.

Barometer yangu ya quality education ni kukubaliwa kupewa full academic scholarship in Ivy League schools nikionyesha cheti changu cha kufaulu.

Kama mwanafunzi akiweza kusoma bure top 10 universities za dunia, basi hiyo shule ina heshima automatically iwe Starehe high school au Zanaki Secondary School.

Mkuu unafeli!

Labda uniambie idadi kubwa kwenda ivy...Ila eti hata kama ni mmoja kaenda Ivy ndio shule bora?

Nilisoma Ilboru,kuna vitoto hua vinaenda MIT,Harvard,Yale....Ilikua walao kwa mwaka anaenda mmoja,shida ni kua the remaining 99% ni Udsm,sasa kwako hiyo ni shule bora kiivyo?....Na kumbuka hao naturally gifted students hata wangesomea chini ya mti angepata masomo yote A,shida ndio hiyo!

Tusichukulie vitoto vi-genius naturally vimepita shule zetu hizi vikaenda MIT then tuseme hiyo shule ina elimu bora!
 
Mkuu unafeli!

Labda uniambie idadi kubwa kwenda ivy...Ila eti hata kama ni mmoja kaenda Ivy ndio shule bora?

Nilisoma Ilboru,kuna vitoto hua vinaenda MIT,Harvard,Yale....Ilikua walao kwa mwaka anaenda mmoja,shida ni kua the remaining 99% ni Udsm,sasa kwako hiyo ni shule bora kiivyo?....Na kumbuka hao naturally gifted students hata wangesomea chini ya mti angepata masomo yote A,shida ndio hiyo!

Tusichukulie vitoto vi-genius naturally vimepita shule zetu hizi vikaenda MIT then tuseme hiyo shule ina elimu bora!
Mkuu,
Nilikuwa naongelea idadi kubwa ya wanafunzi kupewa full academic scholarship Ivy League schools.

Pia, kuna quota kwa kila nchi katika shule zao. Hawachukui kila mwombaji hata kama ni top 10 wa darasa lako.

IST kila mwaka, inapeleka sio chini ya wanafunzi 10. Hawa ni full scholarship ambayo ni sawa na $70,000 kwa kila mwanafunzi, kwa mwaka.

Kumbuka kuna raia wa nchi 60 IST. Raia wa nchi zilizoendelea, wao mara nyingi huenda kwao kwanza halafu utamsikia kaenda Wharton kuchukua MBA. Wengine wameridhika na elimu bora za nchi zao.

Watoto wa ubalozi wa nchi masikini wengi pia wanakwenda kusoma Marekani kupitia IST, hata kwa kujilipia.

Pia, sio wote waliosoma wanapewa full scholarship. Shule za Ivy League pia wanaangalia uongozi wako, community service skills na jinsi gani unaandika barua ya maombi na essay yao. Barua ya kuombewa pia inatayarishwa na shule (letter of recommendation) kwa niaba yako. Kama wazazi wana uwezo, unaombwa pia kulipa fee kidogo kuwasaidia wengine.

Katika IB program tunapelekwa kupiga rangi mahospitali kama ocean road, kufagia au kufundisha kiingereza watoto vilema wa shule ya Salvation Army (saba saba). IST pia inaendesha hospitali ya wananchi wenye ukoma. Huwa tunaenda huko kila mwaka kusaidia na kuwaelimisha wanakijiji wa Kindwitwi, kuwa ukoma hauambukizi. Wamewatenga wanakijiji walio na ukoma. Imani za kichawi inasumbua.

Kupata IB diploma, lazima ujitolee masaa 80 kusaidia jamii.

Pia, kusoma ni bidii yako pia. IST inatoa scholarship kwa wanafunzi wa shule za serikali kila mwaka ili wasome IB. Wengi wameweza kupata full au partial scholarship kusoma nje hata kama wamesoma miaka miwili tu IST.
 
Mkuu,
Nilikuwa naongelea idadi kubwa ya wanafunzi kupewa full academic scholarship Ivy League schools.

Pia, kuna quota kwa kila nchi katika shule zao. Hawachukui kila mwombaji hata kama ni top 10 wa darasa lako.

IST kila mwaka, inapeleka sio chini ya wanafunzi 10. Hawa ni full scholarship ambayo ni sawa na $70,000 kwa kila mwanafunzi, kwa mwaka.

Kumbuka kuna raia wa nchi 60 IST. Raia wa nchi zilizoendelea, wao mara nyingi huenda kwao kwanza halafu utamsikia kaenda Wharton kuchukua MBA. Wengine wameridhika na elimu bora za nchi zao.

Watoto wa ubalozi wa nchi masikini wengi pia wanakwenda kusoma Marekani kupitia IST, hata kwa kujilipia.

Pia, sio wote waliosoma wanapewa full scholarship. Shule za Ivy League pia wanaangalia uongozi wako, community service skills na jinsi gani unaandika barua ya maombi na essay yao. Barua ya kuombewa pia inatayarishwa na shule (letter of recommendation) kwa niaba yako. Kama wazazi wana uwezo, unaombwa pia kulipa fee kidogo kuwasaidia wengine.

Katika IB program tunapelekwa kupiga rangi mahospitali kama ocean road, kufagia au kufundisha kiingereza watoto vilema wa shule ya Salvation Army (saba saba). IST pia inaendesha hospitali ya wananchi wenye ukoma. Huwa tunaenda huko kila mwaka kusaidia na kuwaelimisha wanakijiji wa Kindwitwi, kuwa ukoma hauambukizi. Wamewatenga wanakijiji walio na ukoma. Imani za kichawi inasumbua.

Kupata IB diploma, lazima ujitolee masaa 80 kusaidia jamii.

Pia, kusoma ni bidii yako pia. IST inatoa scholarship kwa wanafunzi wa shule za serikali kila mwaka ili wasome IB. Wengi wameweza kupata full au partial scholarship kusoma nje hata kama wamesoma miaka miwili tu IST.
i hope kaelewa kama hajaelewa atakuwa ni mpumbavu wa dunia
 
Mkuu,
Nilikuwa naongelea idadi kubwa ya wanafunzi kupewa full academic scholarship Ivy League schools.

Pia, kuna quota kwa kila nchi katika shule zao. Hawachukui kila mwombaji hata kama ni top 10 wa darasa lako.

IST kila mwaka, inapeleka sio chini ya wanafunzi 10. Hawa ni full scholarship ambayo ni sawa na $70,000 kwa kila mwanafunzi, kwa mwaka.

Kumbuka kuna raia wa nchi 60 IST. Raia wa nchi zilizoendelea, wao mara nyingi huenda kwao kwanza halafu utamsikia kaenda Wharton kuchukua MBA. Wengine wameridhika na elimu bora za nchi zao.

Watoto wa ubalozi wa nchi masikini wengi pia wanakwenda kusoma Marekani kupitia IST, hata kwa kujilipia.

Pia, sio wote waliosoma wanapewa full scholarship. Shule za Ivy League pia wanaangalia uongozi wako, community service skills na jinsi gani unaandika barua ya maombi na essay yao. Barua ya kuombewa pia inatayarishwa na shule (letter of recommendation) kwa niaba yako. Kama wazazi wana uwezo, unaombwa pia kulipa fee kidogo kuwasaidia wengine.

Katika IB program tunapelekwa kupiga rangi mahospitali kama ocean road, kufagia au kufundisha kiingereza watoto vilema wa shule ya Salvation Army (saba saba). IST pia inaendesha hospitali ya wananchi wenye ukoma. Huwa tunaenda huko kila mwaka kusaidia na kuwaelimisha wanakijiji wa Kindwitwi, kuwa ukoma hauambukizi. Wamewatenga wanakijiji walio na ukoma. Imani za kichawi inasumbua.

Kupata IB diploma, lazima ujitolee masaa 80 kusaidia jamii.

Pia, kusoma ni bidii yako pia. IST inatoa scholarship kwa wanafunzi wa shule za serikali kila mwaka ili wasome IB. Wengi wameweza kupata full au partial scholarship kusoma nje hata kama wamesoma miaka miwili tu IST.

Nimekuelewa vizuri sana.

Ila IST mpo ghali sana mkuu...Iweje IST na ISK mpo 20,000USD wakati the same private schools in SA wanalipa wastani wa 12,000-15,000USD?..Kwanini mpo ghali hivyo?

Kingine,unakuta Braeburn ya Dar es Salaam ni 10,000USD primary ila hiyo hiyo ya Kenya ni kama 5,000USD?Sababu ni nini hasa?

Kuna jamaa yangu anasomesha Braeburn ya Dsm primary ni 10,000USD,akimaliza Year 6 anataka aende secondary Roedean Girls School SA kwa 15,000USD sababu anaona IST ni above 20,000USD ila SA wanatumia mitihani ya IEB ,sasa anauliza does IEB the same as IB system IST inayotumia na itamsaidia mwanae kwenda Ivy colleges in the US?Kumbuka jamaa anaweza lipia 70k kwa mwaka,ila shida yake aende Ivy tu.Nisaidie ushauri hapo.

Yeye anataka kukwepa hizo 20,000USD za IST ila anataka the same results.Yaani Braeburn----Roedean Girls SA---Ivy USA.Ana watoto wasichana hataki co-ed kwa secondary anaogopa wasije endekeza ngono sana wakafeli.

Tusaisaidiane mawazo mkuu!
 
Nimekuelewa vizuri sana.

Ila IST mpo ghali sana mkuu...Iweje IST na ISK mpo 20,000USD wakati the same private schools in SA wanalipa wastani wa 12,000-15,000USD?..Kwanini mpo ghali hivyo?

Kingine,unakuta Braeburn ya Dar es Salaam ni 10,000USD primary ila hiyo hiyo ya Kenya ni kama 5,000USD?Sababu ni nini hasa?

Kuna jamaa yangu anasomesha Braeburn ya Dsm primary ni 10,000USD,akimaliza Year 6 anataka aende secondary Roedean Girls School SA kwa 15,000USD sababu anaona IST ni above 20,000USD ila SA wanatumia mitihani ya IEB ,sasa anauliza does IEB the same as IB system IST inayotumia na itamsaidia mwanae kwenda Ivy colleges in the US?Kumbuka jamaa anaweza lipia 70k kwa mwaka,ila shida yake aende Ivy tu.Nisaidie ushauri hapo.

Yeye anataka kukwepa hizo 20,000USD za IST ila anataka the same results.Yaani Braeburn----Roedean Girls SA---Ivy USA.Ana watoto wasichana hataki co-ed kwa secondary anaogopa wasije endekeza ngono sana wakafeli.

Tusaisaidiane mawazo mkuu!
Mkuu,

Jibu la tofauti ya IEB na IB sina kwa kuwa IEB ni assessment agency ya Afrika Kusini. Mimi naijua IB diploma tu.

Pia, siwezi kujua jinsi gani watoto wa jamaa yako wanavyosoma. Inawezekana kabisa kusoma A.K na kwenda Harvard. As long as wana kitu special Harvard wamekiona, iwe top SAT scores, community service, essay etc.

IST ni ghali kwa sababu ya demand and supply East Africa. Wanatumia walimu wa nchi zao ambao ni ghali kuwaleta East Africa. Pia, walimu wetu hawana exposure ya elimu ya kimataifa.

Pia, bei sio matatizo kwa wengi. Asilimia kubwa ya wanafunzi wanalipiwa na serikali zao kama watoto wa mabalozi.

I would bet that South African education is just as good as IST. Angaalie tu historia ya shule anazotaka kuwapeleka wanae. Je, wanafunzi wao wengi wanaenda wapi kusoma? Wangapi wameweza kuingia Ivy League Schools?

IST ina historia ndefu na consistent ya kuingiza wanafunzi Ivy League Schools.

Admissions office za hizo shule za Afrika Kusini zinaweza kutoa majibu sahihi kuliko mimi.
 
Mkuu,

Jibu la tofauti ya IEB na IB sina kwa kuwa IEB ni assessment agency ya Afrika Kusini. Mimi naijua IB diploma tu.

Pia, siwezi kujua jinsi gani watoto wa jamaa yako wanavyosoma. Inawezekana kabisa kusoma A.K na kwenda Harvard. As long as wana kitu special Harvard wamekiona, iwe top SAT scores, community service, essay etc.

IST ni ghali kwa sababu ya demand and supply East Africa. Wanatumia walimu wa nchi zao ambao ni ghali kuwaleta East Africa. Pia, walimu wetu hawana exposure ya elimu ya kimataifa.

Pia, bei sio matatizo kwa wengi. Asilimia kubwa ya wanafunzi wanalipiwa na serikali zao kama watoto wa mabalozi.

I would bet that South African education is just as good as IST. Angaalie tu historia ya shule anazotaka kuwapeleka wanae. Je, wanafunzi wao wengi wanaenda wapi kusoma? Wangapi wameweza kuingia Ivy League Schools?

IST ina historia ndefu na consistent ya kuingiza wanafunzi Ivy League Schools.

Admissions office za hizo shule za Afrika Kusini zinaweza kutoa majibu sahihi kuliko mimi.


Mkuu nimekusoma vizuri

Hebu check admissions zao kwenda Uni hapa:

View attachment 789682
Screenshot 2018-05-30 09.24.41.png


Naona admissions zao sio mbaya....

Sema kulikua na wasiwasi wa IEB na kitu inaitwa IB....Ila mkuu kwa hizi shule zenu za kishua SA ni cheap sana mbona?

Kitu kingine ni jee,IST na ISM,mbona kama ISM ipo ahead of IST kwenye ranking?Na bei yao ni karibu half ya IST?

Kingine unakuta primary Braeburn inaishia Year 6,ila IST ni year sijui 5 ila secondary ni longer...Hivi kwa mtu wa kukwepa kwepa gharama labda kamtoa HOPAC,kampeleka Braeburn then IST au Roedean SA,hivi compartibility ya hii mitaala haitakuja kua matatizo sana kwenye Ivy admissions mwisho wa siku?
 
Mkuu nimekusoma vizuri

Hebu check admissions zao kwenda Uni hapa:

View attachment 789682 View attachment 789688

Naona admissions zao sio mbaya....

Sema kulikua na wasiwasi wa IEB na kitu inaitwa IB....Ila mkuu kwa hizi shule zenu za kishua SA ni cheap sana mbona?

Kitu kingine ni jee,IST na ISM,mbona kama ISM ipo ahead of IST kwenye ranking?Na bei yao ni karibu half ya IST?

Kingine unakuta primary Braeburn inaishia Year 6,ila IST ni year sijui 5 ila secondary ni longer...Hivi kwa mtu wa kukwepa kwepa gharama labda kamtoa HOPAC,kampeleka Braeburn then IST au Roedean SA,hivi compartibility ya hii mitaala haitakuja kua matatizo sana kwenye Ivy admissions mwisho wa siku?
Mkuu,

Kwa bahati mbaya majibu ya maswali yako sina. Sifahamu kwa kweli.

Ila kama historia za hizo shule za Afrika Kusini zinaonyesha wanafunzi wengi wameweza kuingia Harvard, badi itakuwa shule bora.

Siifahamu system ya Afrika Kusini. Siwezi kukujibu kisahihi tofauti yake na IB program.

Lakini historia yao ni nzuri kama ulivyonionesha.
 
Back
Top Bottom