B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Apr 9, 2020 #41 DIVIDEND said: Kenya ndio itakuwa chanzo kikuu cha maambukizi ya corona Africa mashariki na kati. Wewe mtu unazuia watu wasitembee usiku lkn mchana ruksa, hivi hizi ni akili au matope Click to expand... Tanzania nako vipi ambako si mchana wala usiku. Wewe mbele kwa mbele tu? Nadhani Kenya na nusu Shari wanaweza kuwa nafuu zaidi kuliko sisi.
DIVIDEND said: Kenya ndio itakuwa chanzo kikuu cha maambukizi ya corona Africa mashariki na kati. Wewe mtu unazuia watu wasitembee usiku lkn mchana ruksa, hivi hizi ni akili au matope Click to expand... Tanzania nako vipi ambako si mchana wala usiku. Wewe mbele kwa mbele tu? Nadhani Kenya na nusu Shari wanaweza kuwa nafuu zaidi kuliko sisi.