Kenya's MPs tested positive for COVID-19

Kenya ndio itakuwa chanzo kikuu cha maambukizi ya corona Africa mashariki na kati.
Wewe mtu unazuia watu wasitembee usiku lkn mchana ruksa, hivi hizi ni akili au matope

Tanzania nako vipi ambako si mchana wala usiku. Wewe mbele kwa mbele tu?

Nadhani Kenya na nusu Shari wanaweza kuwa nafuu zaidi kuliko sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…