He who laughs last, laughs the loudest.Tunategemeana bro. Uganda wanategema njia ya bomba kutoka kwetu, nasi tunategemea kipato vha dola 12.12 kwa kila pipa la mafuta litakalopita humo. Ni win win situation!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji385] [emoji385] [emoji385]
KabisaHe who laughs last, laughs the loudest.
Kwa siku bomba lirakua linapitisha mapipa 216,000. Sasa zidisha hio mara $ 12.20. Unapata $ 2'635'200 kwa siku. Si hela ya kitoto hio. Inazidi kwa mbali kabisa mapato ya madini na korosho! [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Umeona eeh. Ila sijaona mkataba wake badoduuuuu kumbe kwa siku. je kwa wiki kwa mwezi na kwa mwaka itakuwaje??
hili mbomba lazima tulilinde kwa gharama yoyote ile.
Mungu wangu,sasa Wakenya si wanaanza kuisoma namba hata kabla namba yenyewe haijaandikwaWanafanya nn sasa? Hukuona Uhuru alivyofunga safari mpaka Paris kubembeleza kwa Hollande halafu alakataliwa? Maamuzi yalikuwa ya anaye-guarantee finances n for that case Total SA. Governments had nothing to do with the route decision.
Mimi nashauri kama Kenya wakitia kichwa ngumu kujiunga na bomba lao Hoima basi Uganda wa-terminate SGR project na Kenya. It's tit for tat u can't have ur own cake n eat it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii deal ilibidi tuu tuichukuwe, ni kama hela ya bure. Unaweza kulinganisha na mtu anakupa hela eti kwasababu umemsaidia sehemu ya kulala nyumbani kwako, kitu ambacho hakijakugharimu chochote.utekelezaji unaenda vizuri. the corridor is open and handed to a contractor after the GoT payed the land compensation to PAP.
majirani njooni mpitishe wese lenu hoima - Tanga route. ina faida zaidi kwenu. hili ni Bomba lenu pia.
lina faida kubwa sana za kiuchumi.
Bravo
Are you sure? Where is Southern Sudan?Same time Tanzania itengeneze Pesa
Tanzania ndio Moyo wa EA, Tanzania ni nchi pekee ya East Africa inayopakana na nchi zote za EA
Tutakuwa tunapiga aprox $945mn per year, achilia mbali ajira za moja kwa moja, port ya Tanga na mafaida mengine kede, kumbuka Kenya wanaingiza 800mn ya utalii kwa mwaka,duuuuu kumbe kwa siku. je kwa wiki kwa mwezi na kwa mwaka itakuwaje??
hili mbomba lazima tulilinde kwa gharama yoyote ile.
Tutakuwa tunapiga aprox $945mn per year, achilia mbali ajira za moja kwa moja, port ya Tanga na mafaida mengine kede, kumbuka Kenya wanaingiza 800mn ya utalii kwa mwaka,duuuuu kumbe kwa siku. je kwa wiki kwa mwezi na kwa mwaka itakuwaje??
hili mbomba lazima tulilinde kwa gharama yoyote ile.
Tutakuwa tunapiga aprox $945mn per year, achilia mbali ajira za moja kwa moja, port ya Tanga na mafaida mengine kede, kumbuka Kenya wanaingiza 800mn ya utalii kwa mwaka,duuuuu kumbe kwa siku. je kwa wiki kwa mwezi na kwa mwaka itakuwaje??
hili mbomba lazima tulilinde kwa gharama yoyote ile.
Tutakuwa tunapiga aprox $945mn per year, achilia mbali ajira za moja kwa moja, port ya Tanga na mafaida mengine kede, kumbuka Kenya wanaingiza 800mn ya utalii kwa mwaka,
huu mpunga unakuja hatujatumia hata mia yetu,
Kaka hilo nilishalirekebisha, uwe unasoma thread Nzima kwanza,Are you sure? Where is Southern Sudan?