Point of correction, and We don't need your hypocrisy... crawl back to your shithole.Good Continuation.
The route is not as adventurous as the old rally route because the rally will happen in private roads near Nairobi and naivasha.
I read FIA wished the route could be made taugher.
Meaning it should have happened away from the cities on taugh roads!!
Safari Rally told to toughen up route ahead of planned WRC comeback
Safari Rally organisers have been tasked with toughening up the route for the event's proposed return to the World Rally Championship following a visit by WRC safety delegate Michele Moutonwww.autosport.com
Hizi ni habari nzuri sana kwa KTB na kwa sekta ya utalii Kenya. Fursa za kujitangaza zaidi ndio hizi hapa. Safari rally ilikuwa Kenya miaka ya 1963-2012 na ilikuwa na sifa ya the 'most toughest rally in the world'. Safari, Safari Rally, jina Hakuna matata na ule wimbo wa Jambo Bwana ndio zilikuwa brand za Kenya enzi za Safari Rally.
Nisawa Tu wataletwa na Kenya airways na warudishwe na Kenya airways via NBO. It's okay y'all can feed on the breadcrumbs as usuall....we are a very generous big brother!!Watafanya michezo yao huko alafu watakuja kutalii kwenye mbuga zetu tupige pesa [emoji23][emoji23][emoji23]
Inauma but itabidi mzoee.
Nisawa Tu wataletwa na Kenya airways na warudishwe na Kenya airways via NBO. It's okay y'all can feed on the breadcrumbs as usuall....we are a very generous big brother!!
Ni Sawa small bro utapata za macho usijali[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]!!!
We don't care man, Kenya hatuna hiyo akili ya "ukiona mwenziyo ana kitu usidhani amechukua chako, nenda tafuta new opportunities", fundamento weweWatafanya michezo yao huko alafu watakuja kutalii kwenye mbuga zetu tupige pesa [emoji23][emoji23][emoji23]
Inauma but itabidi mzoee.
Watafanya michezo yao huko alafu watakuja kutalii kwenye mbuga zetu tupige pesa [emoji23][emoji23][emoji23]
Inauma but itabidi mzoee.
Mbona iume ilhali tutakua tumewakwapua, kwanza sisi wenyewe ndio tutawatangazia vivutio vya huko ili tuwatafune zaidi, tayari tunawatangazia waje kwenye michezo kisha watapata fursa kujionea mlima wetu wa Kilimanjaro, hii itasababisha waje wengi, baada ya kuwatafuna tutawaleta huko washangae shangae mlima na nyumbu ili na nyie mpate makopo kisha tuwarejeshe huku na kuwaaga.