Kenya's Safaricom named best mobile operator in Africa

Nimeongea halotel duniani na pia kwa tz na ndani ya muda mfupi wamefikia target yao covarage ipo vijijin yakutosha

Issue sio coverage bali ubora wa huduma. Unaweza kuwa na coverage hadi Serengeti kule kwa nyumbu lakini kama huna ubora mjini ambapo binadamu wapo unakua useless. Hakuna kitu nachukia kama slow internet maana shughuli zangu zinahitaji mtandao imara.

Hata Safaricom kuna siku walikua wamenichukiza sana, ila siku hizi naona wamepata akili maana mtandao wao upo sawa sana.
 
Plz wandugu eti kuna mawakala wa Mobile Money transfer ya mitandao ya Kenya km hao safaricom apa bongo na km wapo,wapi wanapopatikana?

Wapo wengi tu, inategemea upo maeneo gani. Kama Dar, nenda pale Kariokoo kwa mabasi yote yanayokwenda Kenya.
Ama nenda papo hapo Kariokoo kwa kampuni ya mabasi ya Simba. Wapo na huduma ya Mpesa Kenya. Japo rates zao huwa ghali wanapunja ukiwa huwajui. Shilingi ya Kenya inakwenda na 23Tshs

Kama vipi tumia Vodapesa, kuna mfumo salama wa kutuma hela Kenya.
 
Thnx ndugu vodapesa inawezekana kutuma na kutumiwa pia?
 
Mimi hapa natumia halotel for internet services, 3g utadhani 5g. Last year nilikuwa tigo.
Nyie mtu anazaliwa hadi anakufa anatumia safaricom, amesha monopolize market yote ya Kenya.
mimi natumia Airtel na Orange internet, Safaricom ni ya mpesa tu.
 
Absolutely
 
dem boy, in Tanzania we don't have vodapesa but Mpesa as Vodafone parent owner of both Vodacom n Safaricom uses Mpesa it owns everywhere as deemed fit.
 
Majina hayajalishi maana sio kitu nachofanya kila siku hivyo sio lazima nikumbuke kila herufi inayotumika kwenye jina.
Cha msingi ni kubonyeza *150*00# kwenye line ya Voda halafu chagua tuma pesa, chagua 'To M-Pesa Kenya' halafu baada ya hapo inakuwezesha kuona conversion rate, hatimaye fuata maagizo zaidi na utatuma hela Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…