Kenya haina jinsi kwa sasa, nilazima tu iachie miguu, kiuchumi iko kwenye edge margin,haina rasilimali za kutosha hasa ardhi ambayo inamilikiwa na watu wasiozidi kumi ikiwemo familia ya kenyata mwenyewe, Eneo la kaskazini ni jangwa huwezi hata kuishi, nchi ya kenya ni kama mwanamke malaya ambae ameamua kujiuza!!!
Kwa sisi watanzania bado hatuwezi kuingia kwenye compitation hiyo maana sisi ni kama bikra.
Na kweli kama tunashindwa hata kumiliki nusu heka hapa sijui tunachofurahia Kenya ni kipi.
Tumeambiwa mpaka na kuoa, gens za kitanzania zinatafutwa, ukabila umewazidi wanataka kuchanganya vizazi ili kuondoa kizazi hiki cha ukabila.
Shauri ni kwamba Tanzania bado ina fursa lukuki , shauri kwa wenzangu na mimi huwezi hata pata nafasi ya kuuza mtumba huko kenya[ /QUOTE]