Kenyatta anaharibu watu saikolojia....
Hebu nielimishe. Power tariff to 50 per cent ni nini na inasaidia nini?Kenyatta amepunguza power tarriffs to 50% starting 1 Dec 2017 kuvutia wawekezaji na wananchi kupunguziwa gharama! Hizi ndiyo stratergies sasa sio sisi tunapatuka tu viwanda vya maandazi na cherehani 4 ni kiwanda
mr mkiki.
Frustration[emoji21]
Yani chukua kiasi unacholipa sasa kwa matumizi ya umeme halafu uambiwe lipa nusu tu.Hebu nielimishe. Power tariff to 50 per cent ni nini na inasaidia nini?