Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

Hahaha.... Pole yako!!

Makunduchi warriors FC:

IMG_20211017_084619_863.jpg
 
ubabe upo lakini si kama unavyofikiri
si rahisi kwa dunia ya sasa kuivamia nchi flani na kuchukua maliasili zake
kinachofanyika, anaitwa mkuu wa nchi anakua compromised
halafu mali inachukuliwa kwa kutumia mikataba mibovu ambayo itapitishwa na bunge kwa influence ya raisi.
Unaishi dunia gani wewe?.

Marekani akuvamie wewe mh 😳!.
Libya, Afghanistan, Sudan, DRC nk unadhani ni nani huyo?.

Acha mawazo mgando ya advanced country kuharibu assets zake kukuvamia hoehae kama wewe!.
 
Unaishi dunia gani wewe?.

Marekani akuvamie wewe mh 😳!.
Libya, Afghanistan, Sudan, DRC nk unadhani ni nani huyo?.

Acha mawazo mgando ya advanced country kuharibu assets zake kukuvamia hoehae kama wewe!.
Soma tena mkuu.
 
Back
Top Bottom