ubabe upo lakini si kama unavyofikiri
si rahisi kwa dunia ya sasa kuivamia nchi flani na kuchukua maliasili zake
kinachofanyika, anaitwa mkuu wa nchi anakua compromised
halafu mali inachukuliwa kwa kutumia mikataba mibovu ambayo itapitishwa na bunge kwa influence ya raisi.