Kenyatta kakacha mazishi ya BOB kamfuata Magufuli Chato... But Why?

Kenyatta kakacha mazishi ya BOB kamfuata Magufuli Chato... But Why?

pinno

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
1,213
Reaction score
1,229
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa
 
Haya wakenya mje mtuambie Rais wenu uhuru kenyatta anafuata nini Tanzania, tunajua kenyatta ni akili kubwa asije akaturubuni tukampa mlima kilimanjaro
 
Bob Collymore alizikwa Tuesday, sasa sijui ni matanga gani unasema.
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa
 
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa

njaa kali kunyaland, amekuja kuhemea mahindi, poor kenyans
 
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa


Umbea mwingine sio Bobcolly alizikwa kwa kuchomwa juzi Jnne au kuna maziko mara mbili?
 
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa
Mbona naangalia KTN na rais yupo kwenye msiba.
 
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa

Hiyo habari kwamba mualiko ni leo umeitoa wapi? au ndio kukurupuka? sisi tunajua ni kesho Ijumaa
 
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa
Kabla ya kupost jiandae kwanza uku kuna vichwa vya kila aina...
 
U. K ataondoka KEHO Kenya SAA 2 hivi Kwenda huko Chato atafika SAA 4 hivi atapokelewa kupewa supu ya SAMAKI SATO Nani Ndizi kidogo kwani vitu hivyo vipo kwa Wingi sana huko Chato ukizingatia maeneo mengi jirani na Chato ni breeding pool kwa samaki
 
Awali niliona ratiba ya Bobcolly more aliekuwa CEO wa Safaricom, the most profitable company in East Africa, ambapo ratiba ilionesha kuwa Rais wa jamhuri ya Kenya angehudhuria na kutoa neno kidogo hapo

But cha kushangaza, nakutana na taarifa kuwa yupo njian kwenda Chato kwa Magu tena kwa safari binafsi ,mwaliko wa Magu


Is Magufuli personal meeting with Kennyatta importnt than Bob Funeral? au kuna kitu nakosa

Marais wa Nchi mbili, Kenya na Tanzania wanapokutana, wana chance kubwa sana ya kufanya kitu ambacho ni cha manufaa sana kwa watu wasiopungua million 80! Nakubaliana na wewe kuwa ilikuwa ni muhimu Rais kenyatta kuhudhuria hafla hiyo lakini pia uwakilishi wake katika tukio hilo unatosha kuonyesha heshima zote sawa tu na kama angekuwepo pale physically. Na kutokana na manufaa niliyotangulia kuyataja hapo mwanzo, uamuzi wa Rais Kenyata kuja Tanzania bado unakuwa ni wa muhimu zaidi kuliko kuhudhuria hafla nyingine yoyote ile muhimu, lakini ambayo ilikuwa na option ya yeye kuweza kuwakilishwa
 
Back
Top Bottom