johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mpuuzi huyu blodifaken zake. Amefanya nini kuhakikisha kuwa wakenya wanapata matibabu first class kama yanayopatikana USA. Watu wanasikitika kwa sababu serikali zao including serikali yake it was there for looting and not serving Kenyans! Wanasikitika maana watakufa kwa AIDSMh Uhuru Kenyatta amewaonya watu wanaolalamika Trump kukata misaada ya Fedha Kwa Nchi zao
Kenyatta anasema " Ile siyo Serikali yenu wala ile siyo Nchi yenu na Nyie siyo Walipakodi wa Marekani hivyo Trump hana ulazima wa kuwapeni Kitu chochote kile"
Kwako ChoiceVariable ukiwa Mbeya Vijijini π
Ngoja aje Mzee Wangu Wasira ,akujibuMama Samia anaendelea kukunulia kila kiongozi wa hata wa mijini magari ya 400 milioni halafu tunaomba pesa ya dawa!. Mabasi ya chaguzi wakati hakuna sheria ni chaguzi fake
Za uso, kavu kavu. Wasimseme anataka kugombea mwakani.Mh Uhuru Kenyatta amewaonya watu wanaolalamika Trump kukata misaada ya Fedha Kwa Nchi zao
Kenyatta anasema " Ile siyo Serikali yenu wala ile siyo Nchi yenu na Nyie siyo Walipakodi wa Marekani hivyo Trump hana ulazima wa kuwapeni Kitu chochote kile"
Kwako ChoiceVariable ukiwa Mbeya Vijijini π
Taarifa ndio hiyoMpuuzi huyu blodifaken zake. Amefanya nini kuhakikisha kuwa wakenya wanapata matibabu first class kama yanayopatikana USA. Watu wanasikitika kwa sababu serikali zao including serikali yake it was there for looting and not serving Kenyans! Wanasikitika maana watakufa kwa AIDS