Kenyatta na sifa za kijinga kutoka UKAWA

Kenyatta na sifa za kijinga kutoka UKAWA

Mbase1970

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
6,054
Reaction score
4,604
Tumeshuhudia ukawa wakimuunga mkono Uhuru Kenyatta katika kampeni za uchaguzi huko Kenya na hapa JF wafuasi wakipiga kelele kila kukicha.

Tumeshuhudia pia wapiga zumari wa UKAWA wakimsifu Kenyatta kuwa mpenda demokrasia. Lakini kama kawaida yao pale mtu wao anapopotoka hukaa kimya bila kukemea.

Furaha na sifa walizompatia Uhuru siku chache huko nyuma kama mpenda demokrasia na haki ya mahakama leo wanashindwa kumkemea pale anapotaka kuingilia Uhuru wa mahakama.

Law Society of Kenya imetoa tamko la kukemea jitihada za Uhuru Kenyatta za kukandamiza uhuru wa mahakama. Ndipo ninapojiuliza mbona wapenda demokrasia na uhuru wa mahakama wapo kimya tatizo lipo wapi?

Mara nyingi watu wapenda haki na ukweli hawachagui wakati wa kuitetea kasoro tu watu hao wakiwa wanafiki.

NAJIULIZA ZILE SIFA ZOTE KWA UHURU WAKATI NI WAZI ALICHAKACHUA UCHAGUZI ZILIKUA ZA KINAFIKI AMA?

Naachia wenye kufahamu nia ya UKAWA kuvuka mipaka kukampeni nchi jirani watusaidie.


Ikumbukwe pia hii si mara ya kwanza kwenda mahakamani. Mwaka 2013 Odinga alienda mahakamani na alishindwa na hii ilikua concession speech yake na alionyesha maturity katika siasa na kuheshimu katika na mahakama.

When the Supreme Court ruled AGAINST Raila Odinga in 2013, this is what he said: “It is my hope that the incoming government will have fidelity to our Constitution, and implement it to the letter for the betterment of our people. I wish president-elect Uhuru Kenyatta and Deputy president-elect William Ruto best of luck in this endeavour. I remain confident in the Judiciary despite the Supreme Court not ruling in our favour. My concession was made in the interest of peace and so that the economy will no longer be held hostage by the electoral process. Although we may not agree with some of its findings, and despite all the anomalies we have pointed out, our belief in constitutionalism remains supreme. Casting doubt on the judgement of the Court could lead to higher political and economic uncertainty, and make it more difficult for our country to move forward.
 
EL kaharibu kabisa sera na spirits za CDM ya kuwa chama cha upinzani chenye kuwania kuchukua dola. Kuna kitu anakitafuta zaidi ya malengo ya awali ya CDM. As result CDM lost direction.
 
Hivi inakuaje watu zaidi ya 28 wanakufa katika harakati za uchaguzi afu watu na akili zao wanasifia badala ya kulaani. Hiyo ndo aina ya democrasia watu wanataka?
 
EL kaharibu kabisa sera na spirits za CDM ya kuwa chama cha upinzani chenye kuwania kuchukua dola. Kuna kitu anakitafuta zaidi ya malengo ya awali ya CDM. As result CDM lost direction.

Ukweli unajidhihirisha sasa kile alichotaka Lowassa kitoker hapa Tanzania 2015, cha kudukua matokeo ya uchaguzi, na ndicho alichokifanya huko Kenya.

Tanzania bara vijana wake wakakamatwa kabla mambo hayajaharibika sana. Ila Zanzibar, ambako tayari walikwisha fanikiwa, Jecha, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC) hakuwa na jinsi ila kufuta matokeo. Maalim na wanasheria (ati nguri) hadi leo hawathubutu kumfikisha mahakamani, kwa kuwa mchezo mchafu waliucheza wenyewe. Hata Tanzania bara wasingeweza kwenda mahakamani, kama Katiba ingeruhusu. EL mwenyewe alisita kuhubiri watu waende barabarani kudai kuibiwa kura.

Sasa upinzani Tanzania, kupitia kwa domokaya wao, wanadai Katiba mpya, wakati ule ule wakisifia demokrasia ya Uhuru ambaye anashutumu na kuibeza Katiba iliyoipa madaraka mahakama ya kutenda ikichokifanya. Hivi Katiba za vyama vya upinzani vinakinda na kujenga demokrasia ya kweli?

PALIPO NA UKWELI UWONGO HUJITENGA
 
Ukweli unajidhihirisha sasa kile alichotaka Lowassa kitoker hapa Tanzania 2015, cha kudukua matokeo ya uchaguzi, na ndicho alichokifanya huko Kenya.

Tanzania bara vijana wake wakakamatwa kabla mambo hayajaharibika sana. Ila Zanzibar, ambako tayari walikwisha fanikiwa, Jecha, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC) hakuwa na jinsi ila kufuta matokeo. Maalim na wanasheria (ati nguri) hadi leo hawathubutu kumfikisha mahakamani, kwa kuwa mchezo mchafu waliucheza wenyewe. Hata Tanzania bara wasingeweza kwenda mahakamani, kama Katiba ingeruhusu. EL mwenyewe alisita kuhubiri watu waende barabarani kudai kuibiwa kura.

Sasa upinzani Tanzania, kupitia kwa domokaya wao, wanadai Katiba mpya, wakati ule ule wakisifia demokrasia ya Uhuru ambaye anashutumu na kuibeza Katiba iliyoipa madaraka mahakama ya kutenda ikichokifanya. Hivi Katiba za vyama vya upinzani vinakinda na kujenga demokrasia ya kweli?

PALIPO NA UKWELI UWONGO HUJITENGA
Sina la zaidi mkuu umemaliza kila kitu. Nilisema huko nyuma binafsi napenda mabadiliko lakini si mabadiliko bora yawe mabadiliko.

Hivi mabadiliko gani utayapata kutoka kwa mtu kama Lowasa na Sumaye? Hawa watu makandokando yao yana ukakasi.
 
Ukweli unajidhihirisha sasa kile alichotaka Lowassa kitoker hapa Tanzania 2015, cha kudukua matokeo ya uchaguzi, na ndicho alichokifanya huko Kenya.

Tanzania bara vijana wake wakakamatwa kabla mambo hayajaharibika sana. Ila Zanzibar, ambako tayari walikwisha fanikiwa, Jecha, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC) hakuwa na jinsi ila kufuta matokeo. Maalim na wanasheria (ati nguri) hadi leo hawathubutu kumfikisha mahakamani, kwa kuwa mchezo mchafu waliucheza wenyewe. Hata Tanzania bara wasingeweza kwenda mahakamani, kama Katiba ingeruhusu. EL mwenyewe alisita kuhubiri watu waende barabarani kudai kuibiwa kura.

Sasa upinzani Tanzania, kupitia kwa domokaya wao, wanadai Katiba mpya, wakati ule ule wakisifia demokrasia ya Uhuru ambaye anashutumu na kuibeza Katiba iliyoipa madaraka mahakama ya kutenda ikichokifanya. Hivi Katiba za vyama vya upinzani vinakinda na kujenga demokrasia ya kweli?

PALIPO NA UKWELI UWONGO HUJITENGA
Mkuu upate japo bia moja hapo kwa waita bill yangu hio.
 
Wanaomsifia ni majambazi na wapiga dili km yeye. Lowasa na Uhuru wote wanafanana kwa sifa ya kuwa ni wezi.

Mpenda demokradia kwa nini aibe kura? Kwa nini aue watu ovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa habari hii unaileta kwenye jukwaa hili kwanini? Si ungeipeleka kwenye jukwaa la Ukawa? Tuacheni na Rais wetu na Raila wetu! Siasa zenu za sisiemu na ukawa zinabore tu sana!
 
Mada ya majingamajinga ya CCM na ushamba wakujitoa ufahamu kwa malipo kiduchu..? Ushenzi kabisa

Mamlaka ya haki huheshim katiba na watu wake

Sasa hivi tunahitaji

1. Katiba mpya ya warioba

2. Tume huru ya uchaguzi

3. Uhuru wa kuhoji mahakamani ushindi usiolidhisha wa rais

UTAIFA KWANZA.....katiba mpya msingi wa usawa, haki na umoja

Uzalendo, kwanza dai katiba mpya ya warioba
 
Tumeshuhudia ukawa wakimuunga mkono Uhuru Kenyatta katika kampeni za uchaguzi huko Kenya na hapa JF wafuasi wakipiga kelele kila kukicha.

Tumeshuhudia pia wapiga zumari wa UKAWA wakimsifu Kenyatta kuwa mpenda demokrasia. Lakini kama kawaida yao pale mtu wao anapopotoka hukaa kimya bila kukemea.

Furaha na sifa walizompatia Uhuru siku chache huko nyuma kama mpenda demokrasia na haki ya mahakama leo wanashindwa kumkemea pale anapotaka kuingilia Uhuru wa mahakama.

Law Society of Kenya imetoa tamko la kukemea jitihada za Uhuru Kenyatta za kukandamiza uhuru wa mahakama. Ndipo ninapojiuliza mbona wapenda demokrasia na uhuru wa mahakama wapo kimya tatizo lipo wapi?

Mara nyingi watu wapenda haki na ukweli hawachagui wakati wa kuitetea kasoro tu watu hao wakiwa wanafiki.

NAJIULIZA ZILE SIFA ZOTE KWA UHURU WAKATI NI WAZI ALICHAKACHUA UCHAGUZI ZILIKUA ZA KINAFIKI AMA?

Naachia wenye kufahamu nia ya UKAWA kuvuka mipaka kukampeni nchi jirani watusaidie.
Je hapa unaweza kuutuhumu utawala huu ukabaki salama?
 
Je hapa unaweza kuutuhumu utawala huu ukabaki salama?
Kama unataka kuchangia hiyo hoja nenda jukwaa la siasa nilishatoa thread ya hiyo issue hapa tunajadili Kenya Kenyatta na UKAWA. Tafadhali usitutoe katika mada
 
Sasa habari hii unaileta kwenye jukwaa hili kwanini? Si ungeipeleka kwenye jukwaa la Ukawa? Tuacheni na Rais wetu na Raila wetu! Siasa zenu za sisiemu na ukawa zinabore tu sana!
Waombe jf waweke jukwaa la UKAWA mkuu usihamaki
 
Wanaomsifia ni majambazi na wapiga dili km yeye. Lowasa na Uhuru wote wanafanana kwa sifa ya kuwa ni wezi.

Mpenda demokradia kwa nini aibe kura? Kwa nini aue watu ovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti yao moja tu, kuna ile video clip akiwapiga mkwara majaji waliotengua matokeo anaonekana anabembea yaani Kitwanga cha mtoto.
 
Magazeti ya Mwananchi yameandika alichosema kenyataa?? Nisaidien km wameandika nitafte Gazeti maana waliandika sn aliposema yupotayari kwa uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
these guys are obsessed with Kenya....why cant you worry abt what is going on in TZ and leave our country alone? btw, hkuna mkenya hata mmoja ambaye huwa anajishugulisha na siasa za TZ kila uchao...
 
Wanaomsifia ni majambazi na wapiga dili km yeye. Lowasa na Uhuru wote wanafanana kwa sifa ya kuwa ni wezi.

Mpenda demokradia kwa nini aibe kura? Kwa nini aue watu ovyo?
Mkuu hawa watu wanasahau kwamba 2013 Odinga alienda mahakamani na alishindwa na mahakama hiyo hiyo na hii ilikua concession sper
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaomsifia ni majambazi na wapiga dili km yeye. Lowasa na Uhuru wote wanafanana kwa sifa ya kuwa ni wezi.

Mpenda demokradia kwa nini aibe kura? Kwa nini aue watu ovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hawa watu wadahaulifu mwaka 2013 Odinga alienda mahakamani na mahakama hiyo hiyo ilimpatia ushindi Uhuru na Ruto na hii ilikua concession speech ya Odinga kuonyesha maturity
When the Supreme Court ruled AGAINST Raila Odinga in 2013, this is what he said: “It is my hope that the incoming government will have fidelity to our Constitution, and implement it to the letter for the betterment of our people. I wish president-elect Uhuru Kenyatta and Deputy president-elect William Ruto best of luck in this endeavour. I remain confident in the Judiciary despite the Supreme Court not ruling in our favour. My concession was made in the interest of peace and so that the economy will no longer be held hostage by the electoral process. Although we may not agree with some of its findings, and despite all the anomalies we have pointed out, our belief in constitutionalism remains supreme. Casting doubt on the judgement of the Court could lead to higher political and economic uncertainty, and make it more difficult for our country to move forward.

Linganisha hii na ya huyo mwanademokrasia Uhuru Kenyatta
 
Mada ya majingamajinga ya CCM na ushamba wakujitoa ufahamu kwa malipo kiduchu..? Ushenzi kabisa

Mamlaka ya haki huheshim katiba na watu wake

Sasa hivi tunahitaji

1. Katiba mpya ya warioba

2. Tume huru ya uchaguzi

3. Uhuru wa kuhoji mahakamani ushindi usiolidhisha wa rais

UTAIFA KWANZA.....katiba mpya msingi wa usawa, haki na umoja

Uzalendo, kwanza dai katiba mpya ya warioba
Soma hii hotuba ya Odinga wewe kichwa maji linganisha na ya Lowasa wako wa Kenya

When the Supreme Court ruled AGAINST Raila Odinga in 2013, this is what he said: “It is my hope that the incoming government will have fidelity to our Constitution, and implement it to the letter for the betterment of our people. I wish president-elect Uhuru Kenyatta and Deputy president-elect William Ruto best of luck in this endeavour. I remain confident in the Judiciary despite the Supreme Court not ruling in our favour. My concession was made in the interest of peace and so that the economy will no longer be held hostage by the electoral process. Although we may not agree with some of its findings, and despite all the anomalies we have pointed out, our belief in constitutionalism remains supreme. Casting doubt on the judgement of the Court could lead to higher political and economic uncertainty, and make it more difficult for our country to move forward.
 
these guys are obsessed with Kenya....why cant you worry abt what is going on in TZ and leave our country alone? btw, hkuna mkenya hata mmoja ambaye huwa anajishugulisha na siasa za TZ kila uchao...

Ukabila unakutesa eti?

You ought to undestand the motive behind or else nimpumbavu tu wewe na mjingamjinga.

Africans for the number of years, have been ruled by those who decides to stay in power a long time and no one has the Wright to exercise democracy in either case.

The supreme Court however has shown, Africans can do better judgement regardless of being victims of poor leaders beeng on power for taking everything from citizens etc

If that is the case isn't good for everyone of us to suport it, or do you feel bad for what has happened?

Sometimes sisi mutu mweusi nikama mbwa we don't learn to appreciate from those who recognises special group of people excellent performace as to what Maraga and his team did.

I feel very sorry for you guys.
 
Back
Top Bottom