Kenyatta Uhuru kutua Chato

Kenyatta Uhuru kutua Chato

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
Ndio hivyo yani, Uhuru Kenyatta anategemewa kutua Chato kwa ziara binafsi na kuonana na JPM.

D-j1XyCWkAE6r79.jpeg




Tetete huyu jaguar anamtesa Rais wake
 
Ikumbukwe JPM alitua Chato Airport kwa style hii.



Airport ya Chato bado ipo under construction.
 
Hehehe hata alale chumbani kwa magufuli,Takataka kama brookside hazikanyangi Tz.
JPM sio mtu wa kushawishi ukitumia binu za kiselasela hivi..Sijui anatafuta nini chato, nikama tu yule demu ushaa fyeka na kudump tena hakomi kuingia inbox..
Aisee tabia hii hukera sana
 
Back
Top Bottom