Hehehe hata alale chumbani kwa magufuli,Takataka kama brookside hazikanyangi Tz.
JPM sio mtu wa kushawishi ukitumia binu za kiselasela hivi..Sijui anatafuta nini chato, nikama tu yule demu ushaa fyeka na kudump tena hakomi kuingia inbox..
Aisee tabia hii hukera sana
hao ni air hostages 😂 🤣 😂 🤣😂🤣Hao ndo wale warembo watanzania bila make up...bwahahaaa...kisha wanashinda kutupigia kelele wakati kwao air hostess anakaa km muuza makaa
Uhuru amejua kwamba Kenya haina ubavu wa kupambana na TZ, ameamua kuja kuungama, wewe endelea na ushabiki wako, siku sio nyingi wewe pia utakuja kuungama madhambi yako, Tanzania ni Mecca/ Jerusalem ya Africa.Hao ndo wale warembo watanzania bila make up...bwahahaaa...kisha wanashinda kutupigia kelele wakati kwao air hostess anakaa km muuza makaa
Hii protocol and most of the time we dig back after the present visit, nani kati ya JPM na Uhuru alishamtembelea mwenzie then we get JPM was the first one to tour "a state visit to Kenya" then technically kwa deplomatic culture Uhuru should follow the chain so shut up about "Amealikwa"Amealikwa, ajakuja mwenyewe.
Yoote hujayaona ila umeenda ku angalia Mwanamke!!
Unajua mbuzi wa Kikenya hawajui implication kama border ya Kenya na Tanzania inafungwa! That means balance of power shifts to Museveni n everyone knows how Museveni will love to handtwist Kenya!Sasa huyu Uhuru naye Kachanganyikiwa aisee
Katoka kumtuma Mjumbe Tena nabarua iliyo andikwa na yeye mwenyewe
Bado hajaridhika kaona Aje mwenyewe
Afu kuna Mbuzi za Kikenya humu zinaleta Dharau kwa Tanzania
We nawe Tutolee Hadith za Nguchiro ulizo simuliwa na Bibiako akitaka ulale mapemaHii chato inanikumbusha utawala wa Mobutu kule DRC
ugua pole babaa, hao air hostages ni pamoja na majanga yote ya tanzagiza.Yoote hujayaona ila umeenda ku angalia Mwanamke!!
Ukapimwe Akili
Unafikiri transcriptions department ya IKULU ni kama huo uchafu wenu ninyi wa hapo Harambee? Each character kwenye hiyo press release ipo in accordance with the respective discourse and order, wewe ndio utakua mbumbu wa Kiswahili kabla ya MtanzaniaKwani watanzania mpaka kiswahili inawapiga chenga, what does anakuja kwa mwaliko wa mheshimiwa rais jpm mean?[emoji2357][emoji2357][emoji2357] this folks should be studied tho let it be remembered uhuru is the son of a former president and very wealthy hizo manicities mingi seem not to move him
Si Rais Julius Nyerere pia alitoka sehemu hii ya ziwa victoria pia ?Hii chato inanikumbusha utawala wa Mobutu kule DRC
Saitani has kiswahili ever put food on my tableUnafikiri transcriptions department ya IKULU ni kama huo uchafu wenu ninyi wa hapo Harambee? Each character kwenye hiyo press release ipo in accordance with the respective discourse and order, wewe ndio utakua mbumbu wa Kiswahili kabla ya Mtanzania
Usifananishe na huu uchafu wenu upo kama kipeperushi cha tiba za miti shambaView attachment 1145733
Check kitu hicho. View attachment 1145736
Nimekuaminia mkuu, huo kweli ni uchafu wa sijui GarisaUnafikiri transcriptions department ya IKULU ni kama huo uchafu wenu ninyi wa hapo Harambee? Each character kwenye hiyo press release ipo in accordance with the respective discourse and order, wewe ndio utakua mbumbu wa Kiswahili kabla ya Mtanzania
Usifananishe na huu uchafu wenu upo kama kipeperushi cha tiba za miti shambaView attachment 1145733
Check kitu hicho. View attachment 1145736
Neither English does, that's why Kenya remains a hungry country.Saitani has kiswahili ever put food on my table