Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Eti MWA kwa kila sentensi? MFANO??Hee kiswahili kipi hicho! Kile cha kuweka MWA kila sentence [emoji23][emoji23][emoji23]Dunia inajua kiswahili fasaha kinatoka wapi
Mwataka, mwaenda nk[emoji23][emoji23][emoji23]Eti MWA kwa kila sentensi? MFANO??
Bila RAO Uhuru asingekanyaka Chato!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii satus iliniuwa kw kicheko sanaMwataka, mwaenda nk[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwataka, mwaenda nk[emoji23][emoji23][emoji23]
Bwahahaha...km hujui kiswahili sema ufundishwe tu...kwanza tanzania bara na kiswahili wapi na wapi...
Nyinyi mko na wadudu? Huku kenya tuko na Mihogo yaani vitu vizitoWabaya hawa loh! Hata wakivua nguo sisimamishi dudu
Bwahahaha...km hujui kiswahili sema ufundishwe tu...kwanza tanzania bara na kiswahili wapi na wapi...
Tanzania bara na kenya bara wanazungumza swahili Mbovu, wapwani Kenya na Tanzania ndo mafundi wa lugha
Tanzania bara na kenya bara wanazungumza swahili Mbovu, wapwani Kenya na Tanzania ndo mafundi wa lugha
Soga za vijiweni kama kawaida yenu
Yaani mnifundishe kiswahili [emoji23][emoji23][emoji23] eti bara hatujui kiswahili, sasa hichi nachokiandika hapa ni lugha ipi
[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]naona imekuingia....we wa bara nn...mbona..mbna povu
Mkuuu..record audio ukiongea halafu uitume...nataka kucheka kiasi
Shemeji yako ni mtu wa huko kwenu huwa anatamani kiswahili chake kinyooke kama changuMkuuu..record audio ukiongea halafu uitume...nataka kucheka kiasi
PovuWe nawe Tutolee Hadith za Nguchiro ulizo simuliwa na Bibiako akitaka ulale mapema
Nyerere alisema angetaka kuwa dikteta au tajiri kwa katiba hii ilikuwa ni rahisi sana. Sasa shuzi limempata mjambaji tunayaona.Si Rais Julius Nyerere pia alitoka sehemu hii ya ziwa victoria pia ?
Shemeji yako ni mtu wa huko kwenu huwa anatamani kiswahili chake kinyooke kama changu
Kuandika mnajua lakini matamshi yenu ni kama ya wagandaMkuuu..record audio ukiongea halafu uitume...nataka kucheka kiasi
Aliosema Jagwa ni maneno tu, Tofauti na huko Tz ambapo Mkenya mfanyabiashara alitekwa nyara jijini DSM na hadi sasa hajulikani aliko... Labda Uhuru kakwenda kukaba koo JPM na hatoki huko Tz hadi huyo mkenya aregeshwa mara moja> Ulifikiria hilo????Hiyo ni barua tu inapunguza ukali wa maneno tu
Lakn kiuhalisia anakwenda Tz kuomba msamaha
Ona sasa Jagwa amemponza[emoji23][emoji23][emoji23]