Kenyatta Uhuru kutua Chato

Yaani mnifundishe kiswahili [emoji23][emoji23][emoji23] eti bara hatujui kiswahili, sasa hichi nachokiandika hapa ni lugha ipi
Bwahahaha...km hujui kiswahili sema ufundishwe tu...kwanza tanzania bara na kiswahili wapi na wapi...
 
Bwahahaha...km hujui kiswahili sema ufundishwe tu...kwanza tanzania bara na kiswahili wapi na wapi...

Tanzania bara na kenya bara wanazungumza swahili Mbovu, wapwani Kenya na Tanzania ndo mafundi wa lugha
 
Mkuuu..record audio ukiongea halafu uitume...nataka kucheka kiasi
Yaani mnifundishe kiswahili [emoji23][emoji23][emoji23] eti bara hatujui kiswahili, sasa hichi nachokiandika hapa ni lugha ipi
 
Si Rais Julius Nyerere pia alitoka sehemu hii ya ziwa victoria pia ?
Nyerere alisema angetaka kuwa dikteta au tajiri kwa katiba hii ilikuwa ni rahisi sana. Sasa shuzi limempata mjambaji tunayaona.
 
Hiyo ni barua tu inapunguza ukali wa maneno tu

Lakn kiuhalisia anakwenda Tz kuomba msamaha

Ona sasa Jagwa amemponza[emoji23][emoji23][emoji23]
Aliosema Jagwa ni maneno tu, Tofauti na huko Tz ambapo Mkenya mfanyabiashara alitekwa nyara jijini DSM na hadi sasa hajulikani aliko... Labda Uhuru kakwenda kukaba koo JPM na hatoki huko Tz hadi huyo mkenya aregeshwa mara moja> Ulifikiria hilo????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…