Kenyatta: We are a true democracy

Aache unafiki true democracy means inclusivity! Haikuwepo haja kulazimisha uchaguzi wa 26th October bila kusikiliza NASA grievances...
Kama mlivowahusisha watu wa kisiwa cha Zanzibar? Mbele ya Mkenya ikija ni maswala ya demokrasia, kama mtz just SHUT UP! Hamna cha kutufunza mnapiga hatua za kurudi nyuma tu. Mwaka juzi mlikuwa na rais sasa hivi mna mfalme mtakatifu.
 

 
Acha kuwakejeli hawa watu....mulitaka kumuua Lissu kwa risasi 38 mungu akamponya kupitia hawa wa Samalia wema Kenyans..
 
Aache unafiki true democracy means inclusivity! Haikuwepo haja kulazimisha uchaguzi wa 26th October bila kusikiliza NASA grievances...
Huo usikilizwaji wa NASA grievancies ulikuwepo kwenye katiba?
Waache watu wafate katiba yao.
 
Kama mlivowahusisha watu wa kisiwa cha Zanzibar? Mbele ya Mkenya ikija ni maswala ya demokrasia, kama mtz just SHUT UP! Hamna cha kutufunza mnapiga hatua za kurudi nyuma tu. Mwaka juzi mlikuwa na rais sasa hivi mna mfalme mtakatifu.
Tanzania democracy amesafiri sijui atarudi lini kwa sasa yupo dictator!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…