Kepa awalaza Chelsea na viatu

Kepa awalaza Chelsea na viatu

fantastic philip

Senior Member
Joined
Oct 17, 2015
Posts
195
Reaction score
688
1646049902869.png


Kutana na Bwana Keppa aliyeingia dakika ya 119 akichukua nafasi ya Mendy ili akadake Penalties.

Mwisho wa mechi amefungwa Penalt zote 11 na akapaisha Penalt ya mwisho[emoji16]
 
sijapata ona uonevu wa namna ile kama walio fanyiwa Chelsea, yaani goli3 zootee walizo funga ndani ya dakika 120 zilikuwa offside?? aloo tunasema simba inabebwa kumbe inabebwa kidogo, duniani kuna tim zinabebwaa kweli kweli
 
Keppa si wa kulaumiwa kabisa, bench baya sana, kila siku anawekwa bench, alafu kwenye fainali anatakiwa ku - perform kwa kudaka penali
 
Laana ya Ukraine hiyo alisikika mlevi mmoja akisema
 
sijapata ona uonevu wa namna ile kama walio fanyiwa Chelsea, yaani goli3 zootee walizo funga ndani ya dakika 120 zilikuwa offside?? aloo tunasema simba inabebwa kumbe inabebwa kidogo, duniani kuna tim zinabebwaa kweli kweli

Waamuzi wa Uingereza kama wa Bongo tu! Mfano lile goli la Lukaku la dakika za lala salama, linakera mpaka basi. Yaani mwamuzi anaenda kuangalia kwenye VAR, anaona kabisa mchezaji hakuwa offside, lakini anaamua iwe offside.

Uonevu mkubwa kabisa ule.
 
Hata VAR haikusaidia Everton kutonyimwa penalty walipocheza na Man City juzi. Ni kama VAR referees hawana msaada
 
Tuchel Alibet Kipumbafu Kama Kipindi Cha Sari.

Huyo Kepa Si Aligoma Kabisa Kutoka. Kwa Performance Ya Mendy Hakustahiri Kutolewa.
 
Waamuzi wa Uingereza kama wa Bongo tu! Mfano lile goli la Lukaku la dakika za lala salama, linakera mpaka basi. Yaani mwamuzi anaenda kuangalia kwenye VAR, anaona kabisa mchezaji hakuwa offside, lakini anaamua iwe offside.

Uonevu mkubwa kabisa ule.
Nikadhani nilikuwa peke yangu, sikuelewa offside ilitoka wapi?
 
Waamuzi wa Uingereza kama wa Bongo tu! Mfano lile goli la Lukaku la dakika za lala salama, linakera mpaka basi. Yaani mwamuzi anaenda kuangalia kwenye VAR, anaona kabisa mchezaji hakuwa offside, lakini anaamua iwe offside.

Uonevu mkubwa kabisa ule.
Eti wanadai mkono ulizidi
 
sijapata ona uonevu wa namna ile kama walio fanyiwa Chelsea, yaani goli3 zootee walizo funga ndani ya dakika 120 zilikuwa offside?? aloo tunasema simba inabebwa kumbe inabebwa kidogo, duniani kuna tim zinabebwaa kweli kweli
Sheria ya offside iangaliwe upya
Mtu akizidi mwili mzima ndio iwe offside sio mtu shati tu
 
Back
Top Bottom