Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 476
Wanajf naomba msaada sasa miaka miwili ni kusumbuliwa na fangus wasiopono dawa nilizotumia whitefield , na zingine nyingi hospitali nimeenda na kuchukua vipimo na nikapewa na dawa.lakini mpaka leo pumbu zinawasha sana na kuuma na pia zinatoa vumbi vumbi nyeupe