Kericho Town.Tea town in south rift,kenya.

Sasa niko hapa kericho m fond of kericho's tea bag nimepita migori,kisii,nyamira to kericho manyang'au mmejua kusieze oppurtunities kwa kweli mmejipanga na cash crops hasa tea na miti. Ila punguzeni ulevi hahahhaha by the way weather kama europe. Ila watz wenzangu hawa jamaa msiruhusu soko la pamoja hawafai wabongo na uvivu wetu tutapigwa bao wallah
 
Very informative thread. Inatusaidia kufahamu Kenya ni zaidi ya Nairobi. Huo mji mzuri ni sana. Watanzania wenzangu mwamba ngoma huvutia kwake lakini tuseme ukweli hapa Tanzania ni mji gani umepangwa vizuri hivyo? Hali ya hewa na sura inafanana na Arusha, Lushoto na Iringa lakini hatukujiongeza kuipanga na kuipendezesha hiyo miji. Pia Kenya wana miji mingi mizuri (shukrani kwa mkoloni settler) ukilinganisha na Tanzania hasa ukizingatia Tanzania ina eneo kubwa kuliko wenzie wa Afrika Mashariki. Kuleta picha za vighorofa wakati mwingine analeta sura ya mji ni kujifaragua bila sababu ya msingi.
 
Mkenya bila kuitaja Tanzania au Dar
hawezi kuimaliza mada yake
rudi mwanzo nani alianzisha uchokozi huo

Nimeufuatilia uzi huu na kama zingine zote hakuna Mkenya ametaja Tanzania mwanzo. Shida ya wengine wenu ni inferiority complex ukiwa kiongozi wao. Post ya Kwanza ya kiushabiki kaipost wewe ukifuatiliwa na ya mwenzako kama ifuatavyo.


Wame mix picha humo
huwajui hawa watu

 

Mkoloni kaijenga Kericho kivipi sasa? Fikra zingine za kivivu - ukichapwa bao unazingizia upendeleaji wa refa kwa upande wa mshindani wako.
 
Nimeufuatilia uzi huu na kama zingine zote hakuna Mkenya ametaja Tanzania mwanzo. Shida ya wengine wenu ni inferiority complex ukiwa kiongozi wao. Post ya Kwanza ya kiushabiki kaipost wewe ukifuatiliwa na ya mwenzako kama ifuatavyo.
Ungejiuliza kwanza
kwanini Aitaje Tanzania!!
Shida yenu hamuanzishi mada hu kwa lengo la kuelimisha
lengo ni kutafuta sifa za kijinga
tena kwa kukejeli watanzania
unategemea sisi tufanyeje!!
 
Miji ya Kenya ina tofauti sana na Tanzania iko hai ukienda hata iwe ndani vipi unakuta imechangamka. Tofauti na Tanzania kuna miji ukifika utadhani kuna msiba
Kweli kabisa, Kericho nakumbuka miaka hiyo ya tisini mwishoni nilikuwa napita sana mitaa hiyo nikitokea Mwanza kuja Dar kupitia Sirari,Migori, Kisii, Kericho, Nakuru jamaa miji yao mingi imechangamka sana uwo ndo ukweli na imepangiliwa vizuri
 
Can we start threads for various towns/cities in Kenya so far i have seen only for Nairobi, Mombasa, Eldoret and Kericho.
 
Can we start threads for various towns/cities in Kenya so far i have seen only for Nairobi, Mombasa, Eldoret and Kericho.
kwanza malindi napapenda sana...kamji kadogo ila kananipa raha sana
 
Kwa sasa miji yote Kenya yaweza funguliwa thread maana inajitosheleza
 
Gani sasa?? Kericho inatoa ligi Miji ya Tanzania midogomidogo yote combined
 
Kweli kabisa, Kericho nakumbuka miaka hiyo ya tisini mwishoni nilikuwa napita sana mitaa hiyo nikitokea Mwanza kuja Dar kupitia Sirari,Migori, Kisii, Kericho, Nakuru jamaa miji yao mingi imechangamka sana uwo ndo ukweli na imepangiliwa vizuri
Safi sana leo hata Narok ukipita siyo ile tena kuna Mall kubwa ambayo Arusha hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…