Kericho Town.Tea town in south rift,kenya.

Kericho Town.Tea town in south rift,kenya.

8e0cd9c06596e5dadcd90dfa386521f3.jpg
35aa7b6e4dacc29e8cea38b6b480783a.jpg
8f217ae9362fa578f867db8941e86b0f.jpg
cd53a545a44ff28f165ed1e2bae59258.jpg

Resent visit by Uhuru Kenyatta to kericho
 
Kericho kuzuri sana nme wahi kukaaa pale
 
Kericho is the biggest town in Kericho County located in the highlands west of the Kenyan Rift Valley . Standing on the edge of the Mau Forest , Kericho has a warm and temperate climate making it an ideal location for agriculture and in particular, the large scale cultivation of tea.
The town is strategically located along Kenya's western tourism circuit with access to Lake Victoria, the Maasai Mara National Reserve and Ruma National Park.
As of the 1999 census, the town has a population of 150,000. [1] Kericho is the home town of the Kipsigis , who are a part of the Kalenjin people.
Ni kweli mjini ni mzuri lakini tatizo wana miji michache ukilinganisha na Tanzania ambayo imesambaza miji kila mkoa. Kenya utasema ni Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kericho, Nakuru na Eldoret. Lakini ukija Tanzania tuna miji mingi na huduma zimesambaa uko kuliko Kenya. Mfano Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga, Moshi, Iringa, Dodoma, Kibaha na Morogoro ni miji mizuri sana. hapo hujaweka miji mkuu ya mikoa kama Bukoba, Musoma, Shinyanga, Singinda, Bagamoyo, Songea, Mtwara, Lindi, Kigoma etc. Na ukienda kote uko utakuta huduma zote
 
Ni kweli mjini ni mzuri lakini tatizo wana miji michache ukilinganisha na Tanzania ambayo imesambaza miji kila mkoa. Kenya utasema ni Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kericho, Nakuru na Eldoret. Lakini ukija Tanzania tuna miji mingi na huduma zimesambaa uko kuliko Kenya. Mfano Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga, Moshi, Iringa, Dodoma, Kibaha na Morogoro ni miji mizuri sana. hapo hujaweka miji mkuu ya mikoa kama Bukoba, Musoma, Shinyanga, Singinda, Bagamoyo, Songea, Mtwara, Lindi, Kigoma etc. Na ukienda kote uko utakuta huduma zote
Nimefika Naivasha,nyeri,kiambu,thika,nyahururu towns na ni very big towns...sema zile umeskia but kenya kuna towns mingi sana zimedevelop
 
Ni kweli mjini ni mzuri lakini tatizo wana miji michache ukilinganisha na Tanzania ambayo imesambaza miji kila mkoa. Kenya utasema ni Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kericho, Nakuru na Eldoret. Lakini ukija Tanzania tuna miji mingi na huduma zimesambaa uko kuliko Kenya. Mfano Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga, Moshi, Iringa, Dodoma, Kibaha na Morogoro ni miji mizuri sana. hapo hujaweka miji mkuu ya mikoa kama Bukoba, Musoma, Shinyanga, Singinda, Bagamoyo, Songea, Mtwara, Lindi, Kigoma etc. Na ukienda kote uko utakuta huduma zote
Kenya kuna towns mingi developed kwanza central kenya, riftvalley,western,eastern,coast na nyanza ni northern kenya tu ndio imezembea
 
Ni kweli mjini ni mzuri lakini tatizo wana miji michache ukilinganisha na Tanzania ambayo imesambaza miji kila mkoa. Kenya utasema ni Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kericho, Nakuru na Eldoret. Lakini ukija Tanzania tuna miji mingi na huduma zimesambaa uko kuliko Kenya. Mfano Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga, Moshi, Iringa, Dodoma, Kibaha na Morogoro ni miji mizuri sana. hapo hujaweka miji mkuu ya mikoa kama Bukoba, Musoma, Shinyanga, Singinda, Bagamoyo, Songea, Mtwara, Lindi, Kigoma etc. Na ukienda kote uko utakuta huduma zote
Mwanza
upload_2017-4-3_15-53-27.jpeg



Arusha


Tanga

Dodoma

Morogoro
upload_2017-4-3_16-1-37.jpeg

Moshi


Iringa

Bukoba

 
Ni kweli mjini ni mzuri lakini tatizo wana miji michache ukilinganisha na Tanzania ambayo imesambaza miji kila mkoa. Kenya utasema ni Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kericho, Nakuru na Eldoret. Lakini ukija Tanzania tuna miji mingi na huduma zimesambaa uko kuliko Kenya. Mfano Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga, Moshi, Iringa, Dodoma, Kibaha na Morogoro ni miji mizuri sana. hapo hujaweka miji mkuu ya mikoa kama Bukoba, Musoma, Shinyanga, Singinda, Bagamoyo, Songea, Mtwara, Lindi, Kigoma etc. Na ukienda kote uko utakuta huduma zote
Kenya pia ina miji mingi tu, sema miji mingi mikuu zimekusanyika kwenye eneo la kusini mwa Kenya.
 
Back
Top Bottom