Kericho Town.Tea town in south rift,kenya.

Kericho Town.Tea town in south rift,kenya.

da8ca9c1cf209d54f49a64aa6538b618.jpg
a497ac2c49a6ff1435914039f4bd928b.jpg
f060387d9c52df4ca39a9acf836d0cd7.jpg
1fbae4c24bb96811634646d414615600.jpg
a8bb4339903ab5544381833677b12cd1.jpg
8222414b670cfc945d7525cd59d43b05.jpg
6a35c208ebfca6ec59fb3a9ffdb9684c.jpg
93be63d3f736d69cad449eeff15a4811.jpg

The wessyde lounge club in kericho is the best place to party mainly in weekends...
Follow in fb..wessyde lounge.
 
I often get bored by these Tanzanians...I though the thread was about Kericho town in Kenya ..who asked about Tanzania towns of Arusha, Tanga, Dodoma, Mbeya e.t.c so pleeeeaaase!..stop posting your photos here ...that habit of your is really disgusting...if you want to show us Tanzanians towns please create your own thread rather than infiltrating Kenyans thread with your towns...this is a habit that I have noted quite often...So Tanzanians please shape up
 
Ni kweli mjini ni mzuri lakini tatizo wana miji michache ukilinganisha na Tanzania ambayo imesambaza miji kila mkoa. Kenya utasema ni Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kericho, Nakuru na Eldoret. Lakini ukija Tanzania tuna miji mingi na huduma zimesambaa uko kuliko Kenya. Mfano Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga, Moshi, Iringa, Dodoma, Kibaha na Morogoro ni miji mizuri sana. hapo hujaweka miji mkuu ya mikoa kama Bukoba, Musoma, Shinyanga, Singinda, Bagamoyo, Songea, Mtwara, Lindi, Kigoma etc. Na ukienda kote uko utakuta huduma zote
Hapana Kenya wame endelea sana kuliko TZ tuache ubishi mji kma Nakuru ukitoa dar cion hapa Tanzania utalinganisha na upi
 
I often get bored by these Tanzanians...I though the thread was about Kericho town in Kenya ..who asked about Tanzania towns of Arusha, Tanga, Dodoma, Mbeya e.t.c so pleeeeaaase!..stop posting your photos here ...that habit of your is really disgusting...if you want to show us Tanzanians towns please create your own thread rather than infiltrating Kenyans thread with your towns...this is a habit that I have noted quite often...So Tanzanians please shape up

Wanataka ligi ya Kericho vs The rest of Tanzania apart from Dar, si wajua hamana lolote kule zaidi ya Dar
 
I often get bored by these Tanzanians...I though the thread was about Kericho town in Kenya ..who asked about Tanzania towns of Arusha, Tanga, Dodoma, Mbeya e.t.c so pleeeeaaase!..stop posting your photos here ...that habit of your is really disgusting...if you want to show us Tanzanians towns please create your own thread rather than infiltrating Kenyans thread with your towns...this is a habit that I have noted quite often...So Tanzanians please shape up
umeongea vizuri sana ndugu...sijawai ona wakenya wakienda poromosha picha za kenya kule kwa threads za tz.its annoying sana
 
Unajua, sio jambo la busara kufurahia projects ambazo hata hujui kama zitakuwa realized except on paper. Kwanini usiweke vitu ambazo tayari ziko or tayari zinaendelea kujengwa.

msamehe tu kwa kuwa hajawa updated na hizo projects alizozitaja kama aim mall ya arusha imekamilika huku ya mwanza ikiwa katika maandalizi lakini kutokana na hali ya sasa ya Tz sidhani kama investments zitaongezeka..

lakini pia umenipa link ya ukubwa wa miji kutokana na population ambayo ni irrelevant na swali nililokuuliza kwa mfano nakuru imewekwa baada ya mombasa ilhali mji wa tatu kwa ukubwa niujuao ni kisumu.. eldoret na nakuru sijui ipi inafuatia ndio maana nikakuomba unipe list
 
msamehe tu kwa kuwa hajawa updated na hizo projects alizozitaja kama aim mall ya arusha imekamilika huku ya mwanza ikiwa katika maandalizi lakini kutokana na hali ya sasa ya Tz sidhani kama investments zitaongezeka..

lakini pia umenipa link ya ukubwa wa miji kutokana na population ambayo ni irrelevant na swali nililokuuliza kwa mfano nakuru imewekwa baada ya mombasa ilhali mji wa tatu kwa ukubwa niujuao ni kisumu.. eldoret na nakuru sijui ipi inafuatia ndio maana nikakuomba unipe list
1.Nairobi
2.Mombasa
3.Kisumu
4.Nakuru
5.Eldy.
 
Back
Top Bottom