Kero: Baa ya La Patrona, Nkuhungu - Dodoma, inapiga muziki usiku kucha

Kero: Baa ya La Patrona, Nkuhungu - Dodoma, inapiga muziki usiku kucha

Joss

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
765
Reaction score
191
Kuna hii baa ya La Patrona, karibu na kanisa la Katoliki, Nkuhungu, Dodoma. Iko vizuri kimazingira ila inatupa kero wakazi wa jirani. Inapiga mziki mnene kila siku kuanzia mida ya saa nne hivi hadi saa kumi hivi usiku, tena yupo na DJ anapiga kelele mno.
Kuna uzi uliletwa siku chache zilizopita ikizitaja na baa zingine za jirani kupiga mziki usiku kucha.

Baa zilizopo jirani na Kanisa Katoliki Nkuhungu ni kero kwa kupiga muziki usiku mzima

Hizi baa zingine za Stela na Revola wamejirekebisha, nilipofatilia nikagundua kuwa walisoma ule uzi. Sasa hii ya La Patrona bado wanapiga kama kawaida.

Sasa hivi mziki inapigwa, niko kama mita 300 kutoka hapo ila mziki ni kama uko chumba cha pili. Sisi wakazi tunaumia, usiku ni muda wa kupumzika. Tafadhali vyombo husika mtusaidie. Malalamiko yetu hayafanyiwi kazi.
 
Kuna hii baa ya La Patrona, karibu na kanisa la Katoliki, Nkuhungu, Dodoma. Iko vizuri kimazingira ila inatupa kero wakazi wa jirani. Inapiga mziki mnene kila siku kuanzia mida ya saa nne hivi hadi saa kumi hivi usiku, tena yupo na DJ anapiga kelele mno.
Kuna uzi uliletwa siku chache zilizopita ikizitaja na baa zingine za jirani kupiga mziki usiku kucha.

Baa zilizopo jirani na Kanisa Katoliki Nkuhungu ni kero kwa kupiga muziki usiku mzima

Hizi baa zingine za Stela na Revola wamejirekebisha, nilipofatilia nikagundua kuwa walisoma ule uzi. Sasa hii ya La Patrona bado wanapiga kama kawaida.

Sasa hivi mziki inapigwa, niko kama mita 300 kutoka hapo ila mziki ni kama uko chumba cha pili. Sisi wakazi tunaumia, usiku ni muda wa kupumzika. Tafadhali vyombo husika mtusaidie. Malalamiko yetu hayafanyiwi kazi.
Ripoti BASATA waku help
 
Kuna hii baa ya La Patrona, karibu na kanisa la Katoliki, Nkuhungu, Dodoma. Iko vizuri kimazingira ila inatupa kero wakazi wa jirani. Inapiga mziki mnene kila siku kuanzia mida ya saa nne hivi hadi saa kumi hivi usiku, tena yupo na DJ anapiga kelele mno.
Kuna uzi uliletwa siku chache zilizopita ikizitaja na baa zingine za jirani kupiga mziki usiku kucha.

Baa zilizopo jirani na Kanisa Katoliki Nkuhungu ni kero kwa kupiga muziki usiku mzima

Hizi baa zingine za Stela na Revola wamejirekebisha, nilipofatilia nikagundua kuwa walisoma ule uzi. Sasa hii ya La Patrona bado wanapiga kama kawaida.

Sasa hivi mziki inapigwa, niko kama mita 300 kutoka hapo ila mziki ni kama uko chumba cha pili. Sisi wakazi tunaumia, usiku ni muda wa kupumzika. Tafadhali vyombo husika mtusaidie. Malalamiko yetu hayafanyiwi kazi.
Pole sana. Jipangeni kwanza mpate ushahidi kwa kuwatumia NEMC. Wapime decibals. Kama mtaweza. Halafu sheria ichukuwe mkondo wake.
Bongo ya ajabu sana. Waweza sikia mwenye au wenye baa sijuwi wanalindwa na mkuu wa polisi, au sijuwi ana au wana uhusiano na usalama wa taifa au sijuwi kigogo gani huko!
Tunachukia rushwa ila naamini sisi raia ndio twapenda vunja sheria kwa kutoa rushwa
 
Humu humu watasoma na kufanyia kazi madai yako. Stori itatoka kwa mmoja itaenda kwa mwingine mpk ifeke sehemu husika.
 
Sasa kila Bar Mpya mtu anawekeza akianza biashara hata anarudishay hela hela robo kelele zinaanza; Muzik n Bar Ni Ndugu Moja; Kwa nini wasinyimwe vibali kuliko kurudishana nyuma!

Mnaua uchumi wa watu; huwezi shindwa lala sababu ya Music wa Bar, mnajidai wazungu; waacheni watu watafute ngawira! Mi nakaa karibu Na kidimbwi Dar, kelele Za toyo, magari, bajaj usiku Ni zaidi ya music wa kidimbwi, deal basi Na Toyo , Bajaj Na Magari! Roho Mbaya tu Na wivu wa kike.
 
Tafuta hela mpaka ukikuta MENDE nyumbani kwako, unamwachia nyumba mende
Inakuwaje robot ya matope? Ulikuwaga na Avatar picha flani la libabu flani lina panki na hairstyles flani hiv ya ajabu. Ukabadilisha ukaweka picha ya sniper flani mtoni akiwa na bunduki. Sasa hii umeiweka hapa sasa if inatia kinyaa utadhan kajipaka mac os.
 
Sasa kila Bar Mpya mtu anawekeza akianza biashara hata anarudishay hela hela robo kelele zinaanza; Muzik n Bar Ni Ndugu Moja; Kwa nini wasinyimwe vibali kuliko kurudishana nyuma!

Mnaua uchumi wa watu; huwezi shindwa lala sababu ya Music wa Bar, mnajidai wazungu; waacheni watu watafute ngawira! Mi nakaa karibu Na kidimbwi Dar, kelele Za toyo, magari, bajaj usiku Ni zaidi ya music wa kidimbwi, deal basi Na Toyo , Bajaj Na Magari! Roho Mbaya tu Na wivu wa kike.
Mbona hasira sana, au na wewe ni mmoja wa kupigia watu kelele usiku?
 
Back
Top Bottom