Kwakweli kumekua na kero sana kwa manesi walipo hospitalini hapa, wamekuwa wakitoa maneno ya kashfa na kejeli hasa kwa manesi wa clinic,
Ni maneno mabaya na ya kejeli sana yakiambatana na matusi.
Naiomba serikali ilifuatilie na kulichunguza swala hili.
Mimi binafsi nimewahi tolewa maneno ya kashfa nilipompeleka mwanangu clinic.
Ni maneno mabaya na ya kejeli sana yakiambatana na matusi.
Naiomba serikali ilifuatilie na kulichunguza swala hili.
Mimi binafsi nimewahi tolewa maneno ya kashfa nilipompeleka mwanangu clinic.