Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kwa sasa hivi na muda huu kuna miradi ya barabara inatekelezwa na wachina jiji zima la Dar es salaam.
Niitaje:
-Airport -KAMATA/Aggrey st.
-Bibi Titi Rd
-Ali Hassan Mwinyi rd
-Morrocco-Mwenge rd
-Ubungo-Kimara rd
-Ubungo -Mwenge rd
-Mwenge-Tegeta/Basihaya rd
-Kawawa /Msimbazi
-Azikiwe /Posta Mpya rd
Tunajua kuwa haya ni maboresho makubwa ya Jiji la Dar es salaam, lakini sasa kero ya kuingia Jiji la DSM na kutoka ni kubwa mno.
Uongozaji wa magari(Traffic Management) na utengenezaji wa njia mbadala(Diversions) ni kama haupo kabisa.
Wachina wanapuyanga kama wanavyojua wao.
Niitaje:
-Airport -KAMATA/Aggrey st.
-Bibi Titi Rd
-Ali Hassan Mwinyi rd
-Morrocco-Mwenge rd
-Ubungo-Kimara rd
-Ubungo -Mwenge rd
-Mwenge-Tegeta/Basihaya rd
-Kawawa /Msimbazi
-Azikiwe /Posta Mpya rd
Tunajua kuwa haya ni maboresho makubwa ya Jiji la Dar es salaam, lakini sasa kero ya kuingia Jiji la DSM na kutoka ni kubwa mno.
Uongozaji wa magari(Traffic Management) na utengenezaji wa njia mbadala(Diversions) ni kama haupo kabisa.
Wachina wanapuyanga kama wanavyojua wao.