Kero: Jamii inatusema vibaya watoto wa maboss

Kero: Jamii inatusema vibaya watoto wa maboss

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kero yangu ni juu ya kusengenywa sisi ambao tumejikuta tumezaliwa katika familia zilizofanikiwa. Mtu yupo na mwenzake kitaa wanamsema mtoto wa kishua fulani eti kwamba ana maisha lakini hajui kuyatumia. Tena wanasema kabisa kwamba hizo nafasi wangebahatisha wao eti wangekuwa wameshatoboa.

Naomba niwaambie jambo moja kwamba sio kila mtu ataweza biashara eti kwa kuwa wazazi wake ni wafanyabiashara wakubwa, kila mtu na njia na uwezo wake halafu huwezi kujilinganisha na mzazi ambaye Ana miaka mingi hata 30 kwenye hio kazi ya biashara.

Msituseme vibaya kama ni maisha tunakula wote wenye kazi na wasio na kazi kikubwa fainali iwe uzeeni, na hata uzeeni fainali ya kazi gani kweni hapa Duniani tunashindana league na nani?

Mimi siwezi kuumiza akili mwisho wa siku niumize mwili eti kuwaza kwanini baba yangu au mama yangu na mamilioni na Mimi Sina hayo mamilioni kikubwa posho zangu napatia hapohapo na bado utajiri unanisubiri na bado naenjoy sitaki shida ndogo ndogo mtoto wa mwenzenu.

Ikumbukwe waliosema penye miti mingi hakuna wajenzi walikuwa na maarifa Yao kujua nature ilivyo mpaka mkunaji hodari asipate upele.
 
Umeamua kutujuza kuwa wewe ni mtoto wa boss, nipe namba za dadako tule pamoja hizo hela!
 
Umeamua kutujuza kuwa wewe ni mtoto wa boss, nipe namba za dadako tule pamoja hizo hela!
Kwa hiyo avatari bwashee? Kikubwa we tufanyeni mishemishe huko tukikutana bar Ni mwendo wa kula maisha bata kama ninazo nakununulia bia Kama Sina usishangae usione hatari.
 
Kero yangu ni juu ya kusengenywa sisi ambao tumejikuta tumezaliwa katika familia zilizofanikiwa. Mtu yupo na mwenzake kitaa wanamsema mtoto wa kishua fulani eti kwamba ana maisha lakini hajui kuyatumia. Tena wanasema kabisa kwamba hizo nafasi wangebahatisha wao eti wangekuwa wameshatoboa.

Naomba niwaambie jambo moja kwamba sio kila mtu ataweza biashara eti kwa kuwa wazazi wake ni wafanyabiashara wakubwa, kila mtu na njia na uwezo wake halafu huwezi kujilinganisha na mzazi ambaye Ana miaka mingi hata 30 kwenye hio kazi ya biashara.

Msituseme vibaya kama ni maisha tunakula wote wenye kazi na wasio na kazi kikubwa fainali iwe uzeeni, na hata uzeeni fainali ya kazi gani kweni hapa Duniani tunashindana league na nani?

Mimi siwezi kuumiza akili mwisho wa siku niumize mwili eti kuwaza kwanini baba yangu au mama yangu na mamilioni na Mimi Sina hayo mamilioni kikubwa posho zangu napatia hapohapo na bado utajiri unanisubiri na bado naenjoy sitaki shida ndogo ndogo mtoto wa mwenzenu.

Ikumbukwe waliosema penye miti mingi hakuna wajenzi walikuwa na maarifa Yao kujua nature ilivyo mpaka mkunaji hodari asipate upele.
Wanawasengenya kwa kuwa wengi wenu hamja ujanja wa kupambana na maisha zaidi ya kujichomeka kwenye CCM na kupesa teuzi kama asante!!!wengi wamejazana bungeni,ukuu wa wilaya,u das, u RC,nk
 
Back
Top Bottom