Kero kero kero!

Tatizo sio matendo kana kwamba utaendelea kununiwa ila kusahau kunashindikana kwahiyo ukirudia tena unakumbushiwa!

Unapoombwa samahani haina maana kwamba usahau yaliyotokea basi umsamehe na kuanza mstari mpya. Sasa likitokea kosa jingine ukakumbushia na lile kosa la mwaka 47 ambalo mkosaji alishasamehewa hapo ndipo kasheshe inapoanzia.
 
Unapoombwa samahani haina maana kwamba usahau yaliyotokea basi umsamehe na kuanza mstari mpya. Sasa likitokea kosa jingine ukakumbushia na lile kosa la mwaka 47 ambalo mkosaji alishasamehewa hapo ndipo kasheshe inapoanzia.

Kwahiyo hua mnaumia kukumbushwa mlivyokua wabaya..wakorofi au waongo back in 1947?
 
Hapo Bishanga umeongea kweli kabisa.
Sisi wanawake tunazo hizo tabia na mimi nakiri na ninaoba wanawake wenzangu tujirekebishe ili kunusuru mahusiano yetu. ILA SASA HAPA JF BADALA YA WADADA KUCHANGIA UTASIKIA WANA COMMENT SIYO WANAWAKE WOTE. NYIE KILA KITU KIBAYA MNAKUWA NDO TOFAUTI NA WANAWAKE WENGINE. TOENI COMMENT NINI KINATUFANYA TUWE HIVYO AND NOT CHEAP TALKS LIKE SIYO WOTE. I HATE THOSE FLUFFY TALKS
 
Kwahiyo hua mnaumia kukumbushwa mlivyokua wabaya..wakorofi au waongo back in 1947?

Mhhhh! Binadamu hatuko perfect Lizzy...makosa yanatendwa na jinsia zote sasa unapoombwa samahani na kuikubali samahani hiyo haina maana kuanzia hapo mtu atakuwa perfect na kutotenda kosa lingine, sasa ugomvi wa kosa lililotendwa leo hii ni tofauti sana na ugomvi ambao umejumuisha makosa yote ya tangu mwaka 47 hadi leo hii.
 
acha nikakugongee senks bishanga. lembea madongo mwanawane , ndio zao hawa! na wakiendelea tutawataja kwa majina. na mimi nina hasira flani hivi
 

Kama ambavyo wewe hauko perfect ndivyo na kwangu pia!Kama wewe bado unaendelea kukosea kwanini kukumbushia kwangu ndio kuwe tabu?
 
Very true wanawake tuna maudhi bana. Ushauri kwenu kaka zangu muwe makini mnapotutafuta kuna wengi wa wanawake ni tegemezi kupita maelezo.
 


lol, yamekukuta mwenzangu! Pole.

Kibaya zaidi hizi tabia atarithishwa binti yako (kama umezaa na mwanamke aina hii).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…