Kero kubwa mno ukiwa bar au club

Haiwezekan atokee mtu eti ajifanye anakujua halafu alete hizo story
 

Ulilazimishwa uende???
 
Mpaka inafikia hapo umekaa unakenua tu meno!!!
 
Mie kero yangu nikiwa baa za uchochoroni ni pale Muhudumu wa baa anaona kabisa watu mmekaa meza yenu mnamaongezi yenu halafu na yeye anakuja kukaa meza hiyo hiyo!πŸ™πŸ™πŸ˜‘πŸ˜‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…