Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe andiko.,.Biblia imetoa mwongozo wa mavazi kwa wakiristo wore.
Huwezi vaa vibaya ukasema sio tatizo eti kwakuwa una moyo safi
Ni sawa upewe mahubiri na shetani useme eti nafuata maneno yake sijali matendo yake.shetani atabaki kuwa shetani na kamwe hawezi mtukuza Mungu.
a siku unanyoa tuu hujui akili ni nywele?Mwache kijana mwenzako atafute riziki
Ndiyo maana huwa nasema wajinga hawataisha duniani. Hivi kweli mtu anatoka nyumbani kwenda kusali kwa wapiga dili kama hawa?Wote wanao ombewa kwake ni wajinga
OvA
Unaabudu kwa kuangalia na sehemu unakoabudu. Utaonaje mtu ni tapeli kabisa halafu wewe ukimbilie kusalishwa naye? Ulokole siku hizi umekuwa kichaka cha uasherati na usinzi!Umeongea kweli na hakika,MTU anabaki kuacha kuabudu eti kisa Fulani kamkwaza,kumbe hajui kuwa anajichelewesha safari ya mbinguni,big up,ujumbe huu ni hakika na ndivyo ilivyo..barikiwa sana kwa kumtetea Yesu na kuitetea injili
Wajinga hawaishi mkuu Acha awapige tuNdiyo maana huwa nasema wajinga hawataisha duniani. Hivi kweli mtu anatoka nyumbani kwenda kusali kwa wapiga dili kama hawa?
kwanini si dhambi ?siasa si dhambi kuongelewa kanisani, lakini mavazi yasiyofaa ni mabaya zaidi!
Na fungu la kumi anakabidhiwaNdiyo maana huwa nasema wajinga hawataisha duniani. Hivi kweli mtu anatoka nyumbani kwenda kusali kwa wapiga dili kama hawa?
je umetoa kuna muongozo wa mavazi kwa walokoke ?Biblia imetoa mwongozo wa mavazi kwa wakiristo wore.
Huwezi vaa vibaya ukasema sio tatizo eti kwakuwa una moyo safi
Ni sawa upewe mahubiri na shetani useme eti nafuata maneno yake sijali matendo yake.shetani atabaki kuwa shetani na kamwe hawezi mtukuza Mungu.
Acheni mawazo mgando,mambo mengi kwenye hizi Dini zetu yameingia,hayakuwepo hata enzi za Jesus,Habari ya mda Huu..
Asilimia kubwa ya watu duniani wanaamini uwepo wa Mungu, na uwepo huu wa Mungu umeleta Imani tofauti tofauti za ambazo binadamu huziishi. Na Imani hizi zinaheshimiwa, wapo wenzetu waroma, wakatholiki, wapentekoste, kila imani inataratibu zake na miiko yake inayoheshimiwa na kila muumini wa dini hiyo.
Kwa upande wa wapentekoste, sote twajua namna miiko yao ilivyo hasa katika mavazi, tumeona kwa waroma tumeona kwa waanglikana, zaidi sana hata kwa wenzetu waislamu.Uwepo wa dini hizi umekuwa msaada sana kwa jamii hasa kuibadilisha jamii na hasa vijana kuwa na miiko na heshima.
Lakini siku za hivi karibuni, kumekuwepo na wimbi la vijana wanaokimbilia ulokole lakini matendo yao hayaendani na miiko ya kilokole, bika kupepesa pepesa kumekuwa na celebrity huyu anayefahamika kama "Massanja mkandamizaji" ama "Emmanuel Mgaya" huyu amekuwa akijiita PASTOR.
Kumekuwa na malalamiko mengi hasa toka wa vijana wakilokole wakilalamika mienendo ya celebrity huyu na mavazi yake yasiyoendana na miiko ya kilokole, ki ukweki kuna wakati ukimwona ni kama kijana mwingine tu wa mitaani, kuvaa mlegezo, kusuka nywele, kofia kuvalia nyuma, hivi haviendani na miiko ya kikristo.
Kwenye jamii inaonyesha picha kuwa Anajifichia kwenye mwamvuli wa kipentekoste ili hali si mpentekoste...sasa unamdanganya nani massanja? hata moyo wako ukushuhudie kuwa.
Unachokifanya hakiendani na maadili ya kipentekoste, kumbuka wewe ni kioo na ni maarufu, hivyo either ubadili namna unavyovaa au uache kutumia ulokole kama kivuli cha maovu!
HAPO ALIKUWA ANAKUNYWA ULANZI
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
"massanja mkandamizaji" kujiita ameokoka tena mchungaji mtarajiwa!!!
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Unaharibu Taratibu za kipentekoste!
Ujumbe huu ukufikie mahali pote ulipo![]()
u
kumbe ni nani ?Kama kuna anayeamini yule ni mlokole kapotea!!!! Hivi hata kwa macho ya kawaida huoni????
Mfanyabiasharakumbe ni nani ?
Nimelipenda sana hilo jibu; "Mfanyabiashara"..ni kweli kabisa, Masanja ni mfanyabiashara anayetafuta "followers" wengi kwenye Instagram page kama wafanyavyo akina Sanchi, Wema Sepetu, Idrisa Sultan n.k. Masanja siyo Mchungaji wala hana sifa za kuwa mchungaji, huyu ni kondoo aliyepotea.Mfanyabiashara