Kero Mataa ya kuongozea Magari Dodoma

Kero Mataa ya kuongozea Magari Dodoma

farharu

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2016
Posts
527
Reaction score
583
Niwaombe wahusika muongeze mataa ya kuongozea magari aseee..
Hii imekuwa kero kubwa ktk makutano yote ya barabara hapa Dodoma hususani ktk maeneo ya Bunge, Kisasa, Majengo, Emous njia panda, Wajenzi na kidogo four ways..Mfano maeneo ya Wajenzi mida ya asubuhi na jioni huwaga kuna kero kubwa mno inayosababishwa na foleni, muda mwingine mpaka nawaona Askari nao wanachanganyikiwa..Tafadhali wahusika shughulikieni kero hii
 
Back
Top Bottom