Kero mtandao wa Airtel

Kero mtandao wa Airtel

As/aleikum____bwana asifiwe


Wakuu ivi huu mtandao wa Airtel unamilikiwa na nani????!
Yaani ni mateso kwakweli , halafu ni kila siku na kila mahali, ukimpigia mtu simu hamsikilizani, mara mtandao unashuka gafla ,mara simu inakata gafla,
Uko kwenye internet ndio ovyo kabisa masikini ya mungu, mara mnara uko full, mara umeshuka, yaani kalaa juu ya karaa, ivi wamiliki wa huu mtandao ni watu wasio na ujuzi wa mambo ya mawasiliano au kitu gani aswaa, au wanywa double kick hawajali malalamiko ya wateja!!!!,
Kipind cha nyuma nilijua labda simu, nikaiweka laini kwenye simu ya sumsang, Bado yaleyale.

Aisee ni kero mnooo
Kwenye bando niseme wazi kwamba Airtel ni majizi na siyo kama TCRA hawajui lakini wanashirikiana kutuumiza
 
Ovyo sana hao jamaa mi nshaweka kando japo laini yao ndio ilikuwa line rasmi ila nimeona niache kulia lia na ni move on
 
SMS sasa unaweza tuma hata kumi zikafika 2 nyingine zikafika baada ya masaa kadhaa hata 6, huku zinaonyesha zimetoka na kule yupo hewani
Hii ktu nlidhan labda n tatzo la smu yangu asee
 
Wanaibia waTZ Sana,na hata mama wanamdharau maana hawajajitingisha hata kushusha bundle zao kama zamani,Naona wamemgomea.

Sa Hivi matumizi ni mara mbili Zaid.
Anyway najiandaa kuachana nao pia
 
Kumbe hili tatizo ni kwa wengi..hata mimi ni hivyohivyo yani unaweza piga namba na ukaweka simu sikioni kumbe ilishakata zamaaani
 
Kumbe hili tatizo ni kwa wengi..hata mimi ni hivyohivyo yani unaweza piga namba na ukaweka simu sikioni kumbe ilishakata zamaaani
Unabaki kupasha sikio tu [emoji23]
 
Kumbe hili tatizo ni kwa wengi..hata mimi ni hivyohivyo yani unaweza piga namba na ukaweka simu sikioni kumbe ilishakata zamaaani
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hii ktu nlidhan labda n tatzo la smu yangu asee
Ukisikiliza watangazaji walalamika tuma SMS 1 tu inatosha usitume 2 haa ha ha ujue huyo anatumia airtel maana unadhani haijafika kumbe
 
Back
Top Bottom