Kero: Mtangazaji wa BBC swahili anakera

red bandama

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
483
Reaction score
574
Huyu wa kuitwa jamuhuri mwavyombo anachefua anaposoma Habari anasoma neno moja moja

Ni siku nyingi Sasa nimevumilia hii kero imetosha

Mimi Ni mdau mkubwa wa BBC swahili huyu Mtangazaji anakera kwa kweli akiwa anasoma yeye taarifa huwa nalazimika kuzima redio

Alipataje ajira huko BBC?

Wawe wanamuachia Habari shabani ndege na ngendo angelo
 
Jamhuri yuko vizuri sana, pia Nyenjo Angela wote wapo vizuri sana, ila Jamhuri zaidi
 
Kwanini watangazaji wengi ni wakenya wakati tunaojua kiswahili fasaha tupo tz
 
Kwanini watangazaji wengi ni wakenya wakati tunaojua kiswahili fasaha tupo tz
Hata walimu wa kiswahili huko ulaya wengi ni wakenya....

I think ni channels tu....wabongo wana asili ya uchoyo na roho mbaya...mtu akipata nafasi hakumbuki kuwanyanyua walio chini bali akiweza hujaribu kuwadidimiza....
...angalia migogoro ya BASATA na Wasanii....roho mbaya na kijicho tu...jitu limejaza madigirii kabatini linazidiwa kipato na msanii wa bongo fleva linaamua kutumia madaraka yake kumshusha...
 
Kwanini watangazaji wengi ni wakenya wakati tunaojua kiswahili fasaha tupo tz

Kiswahili fasaha kipi mnachoongea nyinyi msojua kutofautisha R na L wakenya wanaongea kiswahili fasaha kuliko Wa Tanzania
 
alafu haya ya kujaza ma degree, siku hizi yamekua km mikuku ya kizungu!!!!! Yani sio critical thinkers, yapo yapo tu Kama kuku wa amadol
 

Hamjui icho Kiswahili full stop
 
Kiswahili fasaha kipi mnachoongea nyinyi msojua kutofautisha R na L wakenya wanaongea kiswahili fasaha kuliko Wa Tanzania
Sio kweli mkuu waandishi wetu wapo vizuri sana fatilia kama kuna makosa hayo labda watu wa mitaani
 
Asa braza unataka mtu asome maneno matatu Kwa mpigo au...jamaa anasoma kila neno Kwa ufasaha kwan kipindi chasikilizwa Na wasio jua. Kiswahili pia
 
Akitangaza endelea kuzima Radio hadi pale atakapostaafu maana yuko ukingoni. Kwa vile umri wake umesogea. Yamkini umeanza kumsikia hivi karibuni ndo maana unataka aendane na kasi ya akina Shaban Ndege na Mariam Dodo Abdallah. Yeye anafuata falsafa ya usomaji wa habari wa enzi za uanzilishi wa BBC Idhaa ya Kiswahili
 
badili channel

Sisi tunampenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…