Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Duuuh.Asa braza unataka mtu asome maneno matatu Kwa mpigo au...
hahahaaaaa siingiii chaka. japo TBC jioni kale ka kipibndi kao ka pwagu na pwaguzi kameniteka, yaani ikifika jioni huwa nafanya maamuzi magumu kutune TBC maana at the same time naona ninahamia CCM then then kipindi kipindi kikiisha inabidi nihame tena. duhWasikupangie cha kusikiliza tune TBC
Sio kweli bongo pamoja elimu yetu bado mawazo yetu ni mgando sanaHata walimu wa kiswahili huko ulaya wengi ni wakenya....
I think ni channels tu....wabongo wana asili ya uchoyo na roho mbaya...mtu akipata nafasi hakumbuki kuwanyanyua walio chini bali akiweza hujaribu kuwadidimiza....
...angalia migogoro ya BASATA na Wasanii....roho mbaya na kijicho tu...jitu limejaza madigirii kabatini linazidiwa kipato na msanii wa bongo fleva linaamua kutumia madaraka yake kumshusha...
Hamjui icho Kiswahili full stop
Hayo mawazo mgando ni matokeo ya roho mbaya.....Sio kweli bongo pamoja elimu yetu bado mawazo yetu ni mgando sana
Kwenye nini....?Nini kifanyike
Vitoto vya siku hizi vinataka kila mtu aongee kama waoAkitangaza endelea kuzima Radio hadi pale atakapostaafu maana yuko ukingoni. Kwa vile umri wake umesogea. Yamkini umeanza kumsikia hivi karibuni ndo maana unataka aendane na kasi ya akina Shaban Ndege na Mariam Dodo Abdallah. Yeye anafuta falsafa ya usomaji wa habari wa enzi za uanzilishi wa BBC Idhaa ya Kiswahili
Sio kweli mkuu waandishi wetu wapo vizuri sana fatilia kama kuna makosa hayo labda watu wa mitaani
We jamaa..aisee sisom PhD tenaHata walimu wa kiswahili huko ulaya wengi ni wakenya....
I think ni channels tu....wabongo wana asili ya uchoyo na roho mbaya...mtu akipata nafasi hakumbuki kuwanyanyua walio chini bali akiweza hujaribu kuwadidimiza....
...angalia migogoro ya BASATA na Wasanii....roho mbaya na kijicho tu...jitu limejaza madigirii kabatini linazidiwa kipato na msanii wa bongo fleva linaamua kutumia madaraka yake kumshusha...
watz wapo wengi sana kuliko wakenya.... embu fikiria kikeke, zuhra yunus, regina mziwanda, ambia hirsi, abdul famahu, anord kayanda, wakina tido mhando mpk wakapewa ukurugenz... ila ukirud kwa wakenya wapo wachache wakina kaira na baadh wachache sana wakenya compare to watzKwanini watangazaji wengi ni wakenya wakati tunaojua kiswahili fasaha tupo tz