Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Habar wana JF
Bora tu makao makuu yahamie Dodoma sioni raha ya kubaki Dar .
Jana naingia dar nakaribishwa na mvua
Umeme hakuna
Joto balaa
Watu wa Dar karibuni mkoani mpate raha Kwanza sisi Umeme unapatikana masaa 24.
Alafu foleni yani unatembea Kimara hadi Masaki masaa 5 kuna raha gani.
Ndo maana mkulu anataka kuhamia Dodoma sio Kwa Kero hizi.
Ila Dar kuzuri tatizo Kero zake tu ndo zinakatisha tamaa.
Bora tu makao makuu yahamie Dodoma sioni raha ya kubaki Dar .
Jana naingia dar nakaribishwa na mvua
Umeme hakuna
Joto balaa
Watu wa Dar karibuni mkoani mpate raha Kwanza sisi Umeme unapatikana masaa 24.
Alafu foleni yani unatembea Kimara hadi Masaki masaa 5 kuna raha gani.
Ndo maana mkulu anataka kuhamia Dodoma sio Kwa Kero hizi.
Ila Dar kuzuri tatizo Kero zake tu ndo zinakatisha tamaa.