Bashatu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2015
- 834
- 885
Naomba hiyo mbinu mkuu, mi mwenyewe nataka masters bila kukaa darasani. Nisaidie mkuuMm ckusoma hizo forms ila nmetoka primary nikaandaa title ya researh, nikaandka proposal,nikafanya research na nikaandika thesis kisha nika-present na ku-defend nikapewa masters yangu. Saiv nafanya PHD na case study ya research yangu ni Mpwapwa Dodoma. Kwanza njoo pm nmekupenda