Kero nilizokutana nazo Dar natamani kurudi mkoani

Kero nilizokutana nazo Dar natamani kurudi mkoani

Mm ckusoma hizo forms ila nmetoka primary nikaandaa title ya researh, nikaandka proposal,nikafanya research na nikaandika thesis kisha nika-present na ku-defend nikapewa masters yangu. Saiv nafanya PHD na case study ya research yangu ni Mpwapwa Dodoma. Kwanza njoo pm nmekupenda
Naomba hiyo mbinu mkuu, mi mwenyewe nataka masters bila kukaa darasani. Nisaidie mkuu
 
Siku zote kizuri kina changamoto zake!
 
Kama si mzoefu wa dar ukikaa week unaweza kuisi uko kifungoni.

Dar kuna kero nyingi lile jiji kuna haja ya kulipanua kweli kweli
"Unavyozidi KUPANUA ndivyo watu wanazidi KUTAMANI"-Prof Anna Kajumulo Tibaijuka bungeni Dodoma 2017
 
Back
Top Bottom