Nashukuru mkulu anasema wahamie Dodoma kupunguza jam na waendelee tu kubomoa Kiukweli maana hakuna hewa kabisa japo ni pazuriKama si mzoefu wa dar ukikaa week unaweza kuisi uko kifungoni.
Dar kuna kero nyingi lile jiji kuna haja ya kulipanua kweli kweli
Yeah! Na shughuli pevu ya wanaume wa Dar! Si mikoani mnasema wanaume wa Dar wameathirika na kiepe yai!Nikahadithie mkoani uzur wa Dar na Kero zake
Nashukuru mkulu anasema wahamie Dodoma kupunguza jam na waendelee tu kubomoa Kiukweli maana hakuna hewa kabisa japo ni pazuri
Bora umenikumbusha jana nimepata maeneo nikakuta wanaume kama 7 wanakula chips kidar na soda mm nkmefika nikaagiza ugali Tena upo Kama ngumi nilimwambia mhudumu ongeza na mwingne watu wote wakanishangaa nikanunua na Coca ya moto nikashushia sitak kuumwa koo na vitu vya baridi nikachukua na maji ya seque kubwa nikashushia macho yote kwanguYeah! Na shughuli pevu ya wanaume wa Dar! Si mikoani mnasema wanaume wa Dar wameathirika na kiepe yai!
πππ Weye noma. Sasa leo twende ukale Pizza.Bora umenikumbusha jana nimepata maeneo nikakuta wanaume kama 7 wanakula chips kidar na soda mm nkmefika nikaagiza ugali Tena upo Kama ngumi nilimwambia mhudumu ongeza na mwingne watu wote wakanishangaa nikanunua na Coca ya moto nikashushia sitak kuumwa koo na vitu vya baridi nikachukua na maji ya seque kubwa nikashushia macho yote kwangu
Basi simba ailkuwa anacheza na yangaWw wa mkoani Dar mvua inanyesha na unatoka jasho
Ni tamu kuliko bamia! ππHahaahahhahaha jaman unataka kunitoa ushamba [emoji487] pizza ni tamu kama viazi au maboga