Mmmh! Wewe mtata kama Dr Shika! 😀[emoji3][emoji3][emoji216]
Mm ckusoma hizo forms ila nmetoka primary nikaandaa title ya researh, nikaandka proposal,nikafanya research na nikaandika thesis kisha nika-present na ku-defend nikapewa masters yangu. Saiv nafanya PHD na case study ya research yangu ni Mpwapwa Dodoma. Kwanza njoo pm nmekupendaNmetok Dodoma kuna baridi alafu unaingia jiji la Joto kubadilisha mwili kuzoea hali ya hewa fulan ni vigumu uliacha sayansi form ngap
Pole sana hii Dar mm inaikera sana safar ya dkk 10 unatumia saa kuna siku ubungo mwenge tulitumia lisaa limoja na nusuDar kwel kuna kero,mpaka daladala kupanda unatumia nguvu,utadhani Wanafunzi,Dar kutoka sehemu moja kwenda kwingine ni shida,Mtu anaamka saa tisa asubuhi na ilhal safar yake ni ya humo humo Dar lakin anaeenda Mwanza anaamka saa 10:30,kuingia Dar shida kutoka napo shida,yaani kila kitu shida,nipo Mkoa wa jirani na Dar lakini nikipata safar ya Dar najihisi kuumwa hasa nikikumbuka mikiki mikiki yake,nilishamkosa Dem kwa sababu ya changamoto ya Dar,kila akiniambiwa nikakutane naye Dar nakuwa mvivu mpaka nikapotezea
Kumbe upo Dodoma kwenye Upepo na vumbi alafu unanibishia nn hapaMm ckusoma hizo forms ila nmetoka primary nikaandaa title ya researh, nikaandka proposal,nikafanya research na nikaandika thesis kisha nika-present na ku-defend nikapewa masters yangu. Saiv nafanya PHD na case study ya research yangu ni Mpwapwa Dodoma. Kwanza njoo pm nmekupenda
Huko huwa nakuja tu ila mm niko huku mnakodai kuna joto...naogopa kuishi dodoma maana mm na mabinti damdam nahofia kuloweaKumbe upo Dodoma kwenye Upepo na vumbi alafu unanibishia nn hapa
Huko Dodoma serikal imewamwaga vyuoni kama njugu....Oooh warembo walitaka kukudoea
Mkuu,ndiyo mji nnaouchukia na sitegemei kuupenda wala kuishipo katika maisha yangu,lakini wengine wanaupenda pamoja na changamoto zake,bora Mwanza na Dodoma kwa miji ninayoipenda binafsi,ni aibu umevaa mchomkeo wa hatar alafu unang'ang'ana kupanda daladala kwa nguvu,kufikia hatua unapita dirishan kwenye daladala,kwa Mtu kama mimi huwa siwez hiyo kaz bora nibaki huku huku nilipopazoea na nnaishi kwa uhuru wote na maisha murua mpaka raha,hata mvua ikinyesha sina hofu ya mafuriko,wala Panya road au Mbwa mwituPole sana hii Dar mm inaikera sana safar ya dkk 10 unatumia saa kuna siku ubungo mwenge tulitumia lisaa limoja na nusu
Ndo uje kubebishwa sasa...Id yako nimeipenda
Pole mkuu. Fahamu kuwa Jiji la Dar es salaam ni kama mzinga wa nyuki wenye asali tamu. Huwezi kula asali mpaka ung'atwe na nyuki. Kwahiyo joto,foleni nk tunazivumilia kutokana na utamu wa jiji hili. Karibu sana mkuuHabar wana JF
Bora tu makao makuu yahamie Dodoma sioni raha ya kubaki Dar .
Jana naingia dar nakaribishwa na mvua
Umeme hakuna
Joto balaa
Watu wa Dar karibuni mkoani mpate raha Kwanza sisi Umeme unapatikana masaa 24.
Alafu foleni yani unatembea Kimara hadi Masaki masaa 5 kuna raha gani.
Ndo maana mkulu anataka kuhamia Dodoma sio Kwa Kero hizi.
Ila Dar kuzuri tatizo Kero zake tu ndo zinakatisha tamaa.
Nimejaribu sana kukusoma huwa sikuelewi sana, sasa nimepata majibuHabar wana JF
Bora tu makao makuu yahamie Dodoma sioni raha ya kubaki Dar .
Jana naingia dar nakaribishwa na mvua
Umeme hakuna
Joto balaa
Watu wa Dar karibuni mkoani mpate raha Kwanza sisi Umeme unapatikana masaa 24.
Alafu foleni yani unatembea Kimara hadi Masaki masaa 5 kuna raha gani.
Ndo maana mkulu anataka kuhamia Dodoma sio Kwa Kero hizi.
Ila Dar kuzuri tatizo Kero zake tu ndo zinakatisha tamaa.
Unachagua mpaka haisi ya kupanda Kwa rahaMkuu,ndiyo mji nnaouchukia na sitegemei kuupenda wala kuishipo katika maisha yangu,lakini wengine wanaupenda pamoja na changamoto zake,bora Mwanza na Dodoma kwa miji ninayoipenda binafsi,ni aibu umevaa mchomkeo wa hatar alafu unang'ang'ana kupanda daladala kwa nguvu,kufikia hatua unapita dirishan kwenye daladala,kwa Mtu kama mimi huwa siwez hiyo kaz bora nibaki huku huku nilipopazoea na nnaishi kwa uhuru wote na maisha murua mpaka raha,hata mvua ikinyesha sina hofu ya mafuriko,wala Panya road au Mbwa mwitu