Kero nilizokutana nazo Dar natamani kurudi mkoani

Naomba hiyo mbinu mkuu, mi mwenyewe nataka masters bila kukaa darasani. Nisaidie mkuu
 
Siku zote kizuri kina changamoto zake!
 
Kama si mzoefu wa dar ukikaa week unaweza kuisi uko kifungoni.

Dar kuna kero nyingi lile jiji kuna haja ya kulipanua kweli kweli
"Unavyozidi KUPANUA ndivyo watu wanazidi KUTAMANI"-Prof Anna Kajumulo Tibaijuka bungeni Dodoma 2017
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…