KERO;PESA kuchelewa kusoma UTT AMIS

KERO;PESA kuchelewa kusoma UTT AMIS

bornthelast

Member
Joined
Jul 11, 2022
Posts
24
Reaction score
15
Habarini wakuu,husika na mada tajwa hapo juu.Kama kuna viongozi humu wa UTT amis,tunaomba muangalie namna ambavyo salio linaweza soma haraka kwenye akaunti baada ya kuwekeza at least iwe within 24hrs kuliko hii ya kukaa muda mrefu kwani inazua taharuki kwa wawekezaji wengi.Lakini pia itawasaidia kupunguza kupigiwa pigiwa simu kila muda.Asanteni
 
Wateja ni wengi sana kaka, hua naweka kijisalio kwa njia ya simu, hua inachukua siku moja kusoma kwenye account yangu,wala usiwe na shaka... Pesa zako zipo sehumu salama kabisa
 
Wateja ni wengi sana kaka, hua naweka kijisalio kwa njia ya simu, hua inachukua siku moja kusoma kwenye account yangu,wala usiwe na shaka... Pesa zako zipo sehumu salama kabisa
Yah,ila teknolojia ni kubwa sana mkuu.It's possible.
 
N

Yah,ila teknolojia ni kubwa sana mkuu.It's possible.
Ni kweli,inawezekana cha msingi nikupeleka maoni kwao wao wenyewe.... Lakini mimi mara nyingi huwa nikipata kijisalio,ambacho badala yakukifyeka kwenye unnecessary matumizi,hua natupia kwa njia ya simu,wanarudisha taarifa mzigo wamepokea,lakini unakuja kusoma baada ya siku moja,kitu ambacho mimi naona ni kawaida tu
 
Habarini wakuu,husika na mada tajwa hapo juu.Kama kuna viongozi humu wa UTT amis,tunaomba muangalie namna ambavyo salio linaweza soma haraka kwenye akaunti baada ya kuwekeza at least iwe within 24hrs kuliko hii ya kukaa muda mrefu kwani inazua taharuki kwa wawekezaji wengi.Lakini pia itawasaidia kupunguza kupigiwa pigiwa simu kila muda.Asanteni
Sometimes inachelewa kusoma, lakini meseji inachelewa kurudi ila ukiingia kwenye app yao unakuta tayari imeshasoma
 
Mara nyingi ukiweka karibu na siku za wekend au wekend ndo zinachelewa sana lakini siku za kawaida ukiweka tu kesho yake unaona mzigo umeongezeka
 
Back
Top Bottom