KERO: Stand ya Nzega ni chafu imejaa takataka za vifungashio vya vyakula na plastic

KERO: Stand ya Nzega ni chafu imejaa takataka za vifungashio vya vyakula na plastic

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Ni aibu kubwa kwa uongozi wa Nzega na wana Nzega wenyewe..ukiingia ktk kile kituo cha mabadi kwa mujibu wa wao wenyewe wanavyo kiita.

Yaani ni takataka zimezagaa maeneo yote vifungashio vya kuwekea vyakula tu aibu gani hiyo na viongozi mpo mmekaa tu maofisini mnashindwa kuweka hata dustbins ? Wekeni basi na by laws kali dhidi ya hawa wanaochafua mazingira. Yaani miaka 2 ijayo kama hamtachukua hatua basi hako ka stand mkaite dump site tu
 
Ni aibu kubwaa kwa uongozi wa Nzega na wana Nzega wenyewe..ukiingia ktk kile kituo cha mabadi kwa mujibu wa wao wenyewe wanavyo kiita.

Yaan ni takataka zime zagaaa maeneo yote vifungashio vya kuwekea vyakula tu aibu gani hiyoo na viongozi mpook mmekaa tu maofisi mnashindwa kuweka hata dustbins ? Wekeni basi na by laws kali dhidi ya hawa wanaochafua mazingira ....yaan miaka 2 ijayo kama hamtachukua hatua basi hako ka stand mkaite dump site tu
Kuna vimfuko vimetapakaa kwenye nyasi kwa kiwango kilichopitiliza.na hata hawajistukii
 
Pia inaweza kuwa fursa hiyo kuwakamata wachafuzi wa mazingira.
Yaan kale ka stendi hakana hadhii kabisaaa yaan yapaswa ihamishwe pale ..eti stand then mbele yake kuna kituo cha mafuta mipango ya OVYOO kabisaaa ...hawa wasukuma sijui wanyamwezi wa ovyo sanaa
 
Hapo sawa. Nyanda za huko sijawahi fika. Ila nadhani mamlaka husika wataliangalia ilo nalo.
Kule hamna kitu kabisaa ..ukianzia stand ya Igunda vi vumbi tu utazani upo bembezoni mwa barabara kumbe ni stand kuu 😆😆😆 ukienda Shy at least ila napo.ni poor tu.. Singida wana hitaji stand mpyaa pale pashakuwa padogo sasa maana mibasi ya Kwenda Kanda ya zowa yote inapita Singida gari zikiongozana panakuwa na kafoleni pale ggetini sababu ya Ukaguzi
 
Ni aibu kubwa kwa uongozi wa Nzega na wana Nzega wenyewe..ukiingia ktk kile kituo cha mabadi kwa mujibu wa wao wenyewe wanavyo kiita.

Yaani ni takataka zimezagaa maeneo yote vifungashio vya kuwekea vyakula tu aibu gani hiyo na viongozi mpo mmekaa tu maofisini mnashindwa kuweka hata dustbins ? Wekeni basi na by laws kali dhidi ya hawa wanaochafua mazingira. Yaani miaka 2 ijayo kama hamtachukua hatua basi hako ka stand mkaite dump site tu
MKURUGENZI NA MBUNGE BASHE WANASEMAJE?
 
Back
Top Bottom