evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,996
- 5,156
Heshima kwenu wakuu,
Awali ya yote tunamshukuru Mungu kwa kutupa nafasi ya kusonga mbele haswa pale tulipoona kipa anageuzwa tegemeo na wachezaji wote kumi. Mvinyo unapozidi kukaa ndipo unapozidi kuwa mtamu, kongole kwa Juma K. Juma. Kwa kuonesha umwamba na bado unaweza kuwa tegemeo kwa timu na taifa kwa ujumala.niende kwa mada
Kwenye vibanda umiza(vibanda vya kuangalizia mpira) kuna mambo mengi sana mengine yanafurahisha na mengine yanakarahisha.
Yanayokera ni pamoja na kelele nje yakibandaumiza,nilipokuwa-nangalizia kibanda umiza kimetenganishwa na ukuta unaotenganisha kibanda na garage ya magari, basi wale mafundi hupanda kwa juu kuangalia mpira coz juu pako wako wazi, mwenye kibanda umiza akiwa timua, basi wale mafundi wataenda kugonga machuma hata kama hawana kazi ili mradi tu watukere.
Pale ni kahama, nilipohamia pia kero zippo haziepukiki nakomaa nazo, hapa papya mwenye kibanda ni shabiki wa simba basi simba ikifungwa atakosa raha na hata mwishowe anakuwa hayupo active mfano simba ilipotolewa caf jamaa alikuwa hata kuwasha TV on time ni shida kwa mechi zilizofata.
Kingine ni wapo jamaa wana mtindo wa wakunywa soda nakubakiza nusu ndani ya chupa, kisha wanaitegesha kwenye bench, ukija kichwa kichwa ukiimwaga watakuganda uilipe.
Kingine ni wale back benchers, hawa wengi wao wanaingia huku wanasikiliza radio, goli halijaingia kwenye TV wao tayari wanashangilia, sometimes wanakera ila kama ni timu yako imeshinda utawapenda.
Na wewe tiririka kero ya kwako.
#KongoleTaifastaz#
Awali ya yote tunamshukuru Mungu kwa kutupa nafasi ya kusonga mbele haswa pale tulipoona kipa anageuzwa tegemeo na wachezaji wote kumi. Mvinyo unapozidi kukaa ndipo unapozidi kuwa mtamu, kongole kwa Juma K. Juma. Kwa kuonesha umwamba na bado unaweza kuwa tegemeo kwa timu na taifa kwa ujumala.niende kwa mada
Kwenye vibanda umiza(vibanda vya kuangalizia mpira) kuna mambo mengi sana mengine yanafurahisha na mengine yanakarahisha.
Yanayokera ni pamoja na kelele nje yakibandaumiza,nilipokuwa-nangalizia kibanda umiza kimetenganishwa na ukuta unaotenganisha kibanda na garage ya magari, basi wale mafundi hupanda kwa juu kuangalia mpira coz juu pako wako wazi, mwenye kibanda umiza akiwa timua, basi wale mafundi wataenda kugonga machuma hata kama hawana kazi ili mradi tu watukere.
Pale ni kahama, nilipohamia pia kero zippo haziepukiki nakomaa nazo, hapa papya mwenye kibanda ni shabiki wa simba basi simba ikifungwa atakosa raha na hata mwishowe anakuwa hayupo active mfano simba ilipotolewa caf jamaa alikuwa hata kuwasha TV on time ni shida kwa mechi zilizofata.
Kingine ni wapo jamaa wana mtindo wa wakunywa soda nakubakiza nusu ndani ya chupa, kisha wanaitegesha kwenye bench, ukija kichwa kichwa ukiimwaga watakuganda uilipe.
Kingine ni wale back benchers, hawa wengi wao wanaingia huku wanasikiliza radio, goli halijaingia kwenye TV wao tayari wanashangilia, sometimes wanakera ila kama ni timu yako imeshinda utawapenda.
Na wewe tiririka kero ya kwako.
#KongoleTaifastaz#