Kero tunazokutana nazo kwenye vibanda umiza

Kero tunazokutana nazo kwenye vibanda umiza

Pigaaa mbwaaa haaaooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kibanda umiza cha hapa mtaan sijaona kero yake aisee hapa huwa Ni full mbilingembilinge za hatar humo ndani burudani safi sana
Projector 2
TV lg 3
game zote live.,, omba timu yako isiwe inapigiwa mpira utataman ukimbie humo ndan !! Nyimbo za hatar

Man u afe, afee [emoji2]

Aagh weekend huwa kunawaka moto mle ndan[emoji2][emoji2]
Missing those moments AF
 
Shida vibanda umiza mashabiki wengi kuoga ndoo shida kujamba ndo usiseme.goli likiingia kushangilia na kujamba Vinaendana
 
[emoji3][emoji3][emoji3] yote kwa yote ndio raha ya bandani.
Kuna wengine mpira unaisha sauti imemkauka kuongea. Ukipigwa eti dakika ya 80 ukiinuka wanakuzuia hakuna kuondoka.[emoji23][emoji23]
Lingine ndio linakuja na redio yake linafungulia sauti kubwa kusikiliza uongo wa akina kashasha , unashangaa linaanza kushangilia goli kabla ninyi hamjaliona mkiliambia lizime linaanzisha vita
 
[emoji3][emoji3][emoji3] yote kwa yote ndio raha ya bandani.
Kuna wengine mpira unaisha sauti imemkauka kuongea. Ukipigwa eti dakika ya 80 ukiinuka wanakuzuia hakuna kuondoka.[emoji23][emoji23]
Kwenye kibanda umiza ninachoangalia mpira mimi ukifungwa unazuiwa usitoke halafu ukiisha mpira unapigiwa wimbo wa Amerudi Analia wa Christian Bella "Obama "
 
Hahaha hizi kiboko mkuu
1. Linakuja limtu lireefu wewe umeshakaa na ka nafasi cha uangalia screen umejiwekea linakuziba kabisa

2. Linakuja lingine limevaa kofia linakaa mbele yako huoni tena

3. Lingine linakuja linavua shati kikwapa sasa

4. Linakuja lingine linapiga kelele mwanzo mwisho hata maneno ya mtangazaji husikii

5. Lingine linajifanya linaelekeza wachezaji namna ya kucheza kwa kunyoonya mikono utafikiri picha inamwelewa mwisho wa siku anakuwa anawaziba

6. Lingine linawasha sigara halafu eti linajifanya linapulizia mbali wakati upepo unazunguka mwishowe anawavutisha na wengine

7. Kuna wale wajasiriamali wa kuuza karanga au uji wanapita mbeleyako unakuta ndio kipindi muhuimu anakuziba
 
Hahaha kushangilia na kujamba vinaendana ushuzi hausikiki ila harufu ndo balaa
Shida vibanda umiza mashabiki wengi kuoga ndoo shida kujamba ndo usiseme.goli likiingia kushangilia na kujamba Vinaendana
 
Hahaha mnalipiga
Lingine ndio linakuja na redio yake linafungulia sauti kubwa kusikiliza uongo wa akina kashasha , unashangaa linaanza kushangilia goli kabla ninyi hamjaliona mkiliambia lizime linaanzisha vita
 
Kibanda umiza chetu watu wastaharabu ,ila wanaokuja na redio wapo kama kawaida
 
Back
Top Bottom