Kero uwanja wa Benjamini W. Mkapa! Hali ni mbaya

Mtu mweusi NI KERO duniani

Anajua kusubiri kutengenezewa kitu kizuri yeye aharibu, hajui kutunza wala kurekebisha

Ni Waharibifu tu.
 
Kwanini ataje mkataba wa GSM kwenye suala la usafi wa uwanja ? Hii tabia ya makolo.
 
Kwanini ataje mkataba wa GSM kwenye suala la usafi wa uwanja ? Hii tabia ya makolo.

Kusikia gsm tu umeumia sana ama vipi?
Hata kama kama gsm inatajwa kama mfano ni kipi kinachokuuma? Haya kama unaumia GSM kutajwa kwenye huu uzi basi badilisha kila penye GSM weka MO ili uridhike Mr utopolo!
 
Wazungu si wachawi ila wanatumia akili kuishi, viwanja vyao katika kila mapato kuna % inayokwenda katika ukarabati na uboreshaji. Wasio wajibika wawajibishwe.
Hata kwa mkapa utaratibu huo upo, labda nikumbushie sakata la umeme kukatika wakati kila mechi kuna pesa inatengwa ya mafuta kumbe wanaitafuna matokeo meneja akafukuzwa. Wanachowaza watanzania wengi wanaopewa nafasi ni wizi mpaka caf au fifa watakapotufungia ndio wahusika wanashituka na kuchukua hatua
 
Viti vingi vimeshavunjika na kupasuka.Juzi Kila kiti nikitaka kukaa nakutana na kiti kibovu,,,Ipo haja ya kufanya maboresho ya miundombinu siyo kukusanya tu hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…