Espy njooooo hukuNilijua tu wewe jamaa ulienda kuharibu.
Angalia mtoto anavyo quote meseji zako kwa bashasha mm naambiwa talkative, mtoto daaaah!!
Na nyota yangu ya punda.
Nimekubaliana na matokeo aisee.
Wwe huoni ninavyo mmind deby sitaki kabisa amzoee mtoto wangu ila jamaa anazidi kuja tu speed anamchekesha sana mtoto yeye hajui naumia. Ningekuwa mhehe nikajinyonga hakiMkuu kumbe watu mna hati miliki za watoto wa jf
Haa haa haa af hvoTena vichaka vya kwetu huku ni ngumu sana kuwa na 'third party' . . .hahahah
Nihonge haraka....Daby puliz usimwambie
Nishawahi kutoka kichakani na kundi la siafu mwilini!!!Haa haa haa mkuu
Porin wacha kuitwe porin tu/kichakan
Haa haa mnatuliaga tuuu kama hakuna
Kitu vle af huko mnachojoaga tu wenyw
ujue kweli kichakan
Kutam
Kama kwaida yangWalaa Wee njoo ado ado uone
Huyu jamaa Mungu anamuona lakiniEspy njooooo huku
Uokoe jahaz
Kuna mtu anataka kujitundikaa
Kimeumana huku wahhh
Yani huku ni mchana tu ndio yanafanyikaHaa haa haa af hvo
Vya kwenu yan naskia had
Mchana kweupee hakuna wakukuona
[emoji2] [emoji2]
Nambie nikuhonge nini ili tuyamalize . . .Nihonge haraka....
Hahaha...Huyu jamaa Mungu anamuona lakini
Afu na wewe jamaa sikuelewi ujue. Mara umenunua mirinda nyeusi.Kama kwaida yang
Nshazoeaa najikongojatu
Mdogo mdogo nifke salama
Mi nshafunguka wangu zamani. Wewe tu upande wakoJamani jamani jamani jamani haya nambie wangu
Sioni dalili hizoHahaha...
Saint naretire soon
Nambie nikuhonge nini ili tuyamalize . . .
Mbona zipo nyumba nyingi sana ambazo hazina jirani
Kama huku kwetu porini