Kero vituko na vioja vya majirani

Kwa staili gani sasa make no uhuru hapo make mnalalamika tunalia sana ukute mtu kachomwa na mijiti na nyasi zakuwasha bado nawewe unamkandamizia tu!!
 
mahondaw sijashindwa and i wont give up!!
Kuna kitu kimenikaba rohoni.
Hivi ushawahi kupenda mtu afu unaona unakaribia kumpoteza wazi wazi kiboya boya basi kuna kitu kinakukaba rohoni.
Lakini gemu ishaisha espy kashakuja kuchukua mtu wake.

Haha, mkuu saint espy aondoke mwenyewe tu hapa sibanduki. Kanikosea adabu kuniita sijabalehe na uzee huu.
 
deby mimi saint, shemeji wala hana nia ya kunitongoza, hujamwelewa tu.
Kwenye heshima mimi niko mbele kama tai.
I wont ruin my respect kwa kumgegeda shem wangu kipenzi afu mwisho wa siku nitampoteza mahondaw wangu bure.
Haaa Wee wa vichakani weweee na resign asee
 
[QUOTE="Saint Ivuga, post: 19795575, kwa upande wangu porini nope.
"Labda itokee tu"[/QUOTE]
Haa wewe kigeugeu eee??? Si umesema vichakani ndo mwake wewe heeeeeeeee!
 
[QUOTE="Saint Ivuga, post: 19795575, kwa upande wangu porini nope.
"Labda itokee tu"[/QUOTE]
Haa wewe kigeugeu eee??? Si umesema vichakani ndo mwake wewe heeeeeeeee!
 
Mahondaw sikupeleki vichakani bwana!
Na sina mpango huo...
Huajaona sehemu niliyoandika mambo nitakayokufanyia kabla ya function yenyewe.
Sasa vichakani nitawezaje kukufanyia hayo mambo adimu.
Nimeshaona mbona si umesema mpaka ukishatoa posa ndo unanikomesha eti!! Vibaya hivooo
 
[QUOTE="Saint Ivuga, post: 19795575, kwa upande wangu porini nope.
"Labda itokee tu"
Haa wewe kigeugeu eee??? Si umesema vichakani ndo mwake wewe heeeeeeeee![/QUOTE]
Hapana ! Rudia kusoma tena. Nlikuwa naeleza tu uhalisia wa kufanyia vichakani na faragha.
Kuwa wanaofanyia vichakani ni wale wa chap chap na mmoja wapo hataridhika.
Ushaniapata?
 
Afu wewe jamaa ujue nishakuambia sikuelewi. Upo nyuma nyuma kama fisi. Afu picha yako ya sizitaki mbichi hizi nikuunganisha dots na ukijumlisha na daby ndio kabisa napandwa na pressure.
Me n taratibu af cna haraka
Unajua cjui wansemaga simba
Mwenda pole ndo mla
Nyama nawafwata tu hapa
Nyuma af haitakiw daby ajue

Af ulipewa saport bdo
Hutak kuongeza speed
Unamuona daby anatembelea 120

Lakin hajui kama ata over tak
 
Nani kalia lia bwana.
Mi nshafall yani naona na wewe unazidi tu kunipa machungu.
Unaona wazi wazi jamaa anataka kumbeba mtoto wangu afu ulitaka nikae kimya nijipongeze?
Si uboya huo..?
Mkuu mi Niko likizo kulialia mapenzi ila kwa kuwa wewe upo kwaajili ya kulialia mapenzi endelea
 
Nimeshaona mbona si umesema mpaka ukishatoa posa ndo unanikomesha eti!! Vibaya hivooo
Poa na arusi vipo
Ila show zitaendelea kama kawaida . Japo hutalazimishwa , mawazo yako pia na ushauri vitasikilizwa.
Manake unaweza ukasema baada ya posa ndio ******** afu kumbe mziki ukawa mnene kwako.
 
Mahondaw sikupeleki vichakani bwana!
Na sina mpango huo...
Huajaona sehemu niliyoandika mambo nitakayokufanyia kabla ya function yenyewe.
Sasa vichakani nitawezaje kukufanyia hayo mambo adimu.
Duuh nina wasawasi na wewe unataka kuahidi ahadi hewa ili umchukue kirahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…