Kero vituko na vioja vya majirani

Kero vituko na vioja vya majirani

Ndugu yangu nitake radhi. espy ni shemeji yangu.
Wote tunajitambua..
Leo huyu deby atakosa wote ndio akome kuwa kiwembe.
Alijua mahondaw na espy wanatoka kijijini nini?
Kuwa atajipigia na kuondoka!?
Haha ha!!

Sio ukame bwana.
Mimi nampenda mtoto ndio maana namlinda.
Nyie wote mmemtamani..
Mnataka kumpiga mtoto wangu kwa vile mkali afu mtokomee mumuache na maumivu.
Ndio maana nimekomaa na nyinyi na sitawapa nafasi.

Kwa espy keshaharibuu kamwita chalii Daby nae kamfukuzaa
 
Ndugu yangu nitake radhi. espy ni shemeji yangu.
Wote tunajitambua..
Leo huyu deby atakosa wote ndio akome kuwa kiwembe.
Alijua mahondaw na espy wanatoka kijijini nini?
Kuwa atajipigia na kuondoka!?
Haha ha!!
Haa haa hww the the
Leo amekuw shemej
Ukianzisha ukishindwa
Sasa unabak kuita shemej
The the

Sasa ujiandae kumita mahondaw
Shem yako
 
Kwa espy keshaharibuu kamwita chalii Daby nae kamfukuzaa
Siku zote kiwembe mshahara wake ndio huo.
Anakuja kuwakosa wote. Either atamla mmoja afu atakosa mmoja au atawala wote afu watamshtukia afu atawakosa wote.
Then atabaki kulia lia .. Ila kwa vile ukiwembe upo kwenye damu anajamisha majeshi...
Sasa hivi huyu deby atakimbia ila kesho utamkuta keshamkamata dada mwingine anamsaundisha kama unabisha we ngoja kesho tu nitaku quote uone.
 
Af cna speed me nko
Ado ado na cna sport yyt
Af unataka kunionea tu

Umemkandia daby mpaka
Kakimbia cjui kaenda
Kujenga kwa espy
Ha ha a.. Hamna.. Daby yule ndugu yangu kwa hio naijua tabia yake.
Ila alishaanza kuvunja mila .. Yani anataka kumtenda dada yangu espy tena kwa sababu ya mtoto wangu kisura, my apple ,my eye, my hati biti ay everything mahondaw.
Unadhani ningekAa kimya si ningeonekana boya sana.
 
Back
Top Bottom